Uchaguzi 2020 Njombe: Dkt. Magufuli aomba kura kwa kupiga magoti mbele ya Wananchi

Mwalimu Jk Nyerere alisema.

"Udikteta ni selikali ya watu wachache ama kikundi cha watu kinachotunga sheria kandamizi atakayebisha atakipata cha moto".

Dikteta jiwe na Ndugai wamesimamia utungwaji wa sheria kandamizi.
 
Mwalimu Jk Nyerere alisema.

"Udikteta ni selikali ya watu wachache ama kikundi cha watu kinachotunga sheria kandamizi atakayebisha atakipata cha moto".

Dikteta jiwe na Ndugai wamesimamia utungwaji wa sheria kandamizi.
 
Ameshaahidiwa ushindi na Tume aliyoiteuwa, hizi kampeni ni changa la macho tu.
 
Hivi wanachama wa hicho chama na wagombea wao huwa wanamatatizo gani ya akili,kwasababu naona wao kipindi cha uchaguzi ndo wanafanyaga vituko,wengine wagaregare chini,wengine wapige push up,wengine wapige magoti.hivi wana shida gani hawa watu.Yaani mtu anafanya yote hayo kwaajili yakutafuta nafasi yakutumbua kodi zetu.Maana hii sio hali ya kawaida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…