Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
KablaMboni sipaoni palipovunjwa hio picha ndio kabla au baada ya kuvunjwa maana haieleweki ?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KablaMboni sipaoni palipovunjwa hio picha ndio kabla au baada ya kuvunjwa maana haieleweki ?
Unataka tulipe kisasi ?Ndio muwe mnajenga vitu vya maana sio mnaweka jiwe LA msingi LA hovyo wakati mamlaka husika zipo. Pia ishirikisheni serikali kwenye baadhi ya mambo sio kutaka political mileage
Kila ubaya utalipwaNilihis kuwa jambo ilo litatokea.
Nawa suspect SISIEMU
Hawa SISIEMU ndo wachawi wa maendeleo ya Tanzania, na ndo wanaleta siasa za chuki.
Na wanajisema wazi kuwa wao ndo wameshika Dora. Ntakuoa futari takatifu siku Hawa watu wakija kuondoka madarakani
AmenWewe usiye na akili hata kidogo, MUNGU aukumue Kwa haki akuhukumu kwa maneno Yako Aya .
Watu wametaabika, hawakuwa na maji, serikari unayoiaema inajenga miundo mbinu Bora ilikua kimya, Leo watu wamepambana Kwa kuunganisha nguvu zao, bado unaona waliovunja wako sahihi. Duuh
imeshindwa kufanya jambo fulani' la maendeleo Kwa wananchi sehemu fulani', basi sioni shida, wacha isaidiwe na mtu yoyote au kundi au na mtanzania yoyote, wenye moyo na sio kuleta ghadhabu au uadui, kama ule uliokuwepo ktk awamu ya 5 aiseee.,eti uliotokana tu, na tofauti za kiitikadi..... kaazi kwelikweli na bado tuna safari ndefu kama Taifa, kama kweli twataka maendeleo yenye tija.....Political milage hazijawahi kugeuka kuwa maji ya kunywa watu wanataka maji hayapo miaka 60 baada ya uhuru
Huna akili timamu wewe?.mbona hushangai na kichukizwa na net za mbu zilizo andikwa ! KWA HISANI YA WATU WA MAREKANI?Popoma mattercle yako.
Kuna madarasa na visima vingapi vimeandikwa " kwa hisani ya watu wa marekani" mbona havibomolewi? Wewe unasaidiwa mpaka vyumba vya kuhifadhia maiti na wamarekani unaona sawa ila wakifanya watz kwa watz wenzao unashupaza kiuno shabashhhhKama serikali
imeshindwa kufanya jambo fulani' la maendeleo Kwa wananchi sehemu fulani', basi sioni shida, wacha isaidiwe na mtu yoyote au kundi au mtanzania yoyote, na sio kuleta ghadhabu au uadui, kama ule uliokuwepo ktk awamu ya 5 aiseee.,. kaazi kwelikweli.
Jiwe la msingi la hovyo linafananaje wewe? Kwani kuna standards za kuweka mawe ya msingi? Kwenye kutoa huduma za jamii jiwe la msingi ni kitu gani haswa? Acha ushamba na ulimbukeni wewe dunia inakuchekaNdio muwe mnajenga vitu vya maana sio mnaweka jiwe LA msingi LA hovyo wakati mamlaka husika zipo. Pia ishirikisheni serikali kwenye baadhi ya mambo sio kutaka political mileage
Wewe hujui lolote kaa kimya tu. Kuna tofauti kubwa kati ya kujua na kufahamuMiradi ya maji inajengwa kwa fedha za serikali. Sasa chama cha upinzani hapo kinaingiaje kwenda kufungua mradi. Mbona sijaona nchi nzima CCM wanafungua mradi. Huwa wanawakilishwa tu.
Acheni kujitoa ufahamu.
Hiki kiumbe kinakataliwa dunia nzima ,ajabu kinajikataa na kukubali viumbe wengine wanaokikataaKosa kubwa lilifanyika, nalo ni kumuumba mwafrika.
picha iko wapi?Taarifa kutoka Mjini Njombe zinaelezwa kwamba Jiwe la Msingi lililokuwa na maandishi ya Uzinduzi wa mradi wa Maji Uliosimamiwa na Chadema limevunjwa na Maofisa wa Idara ya Maji Njombe.
Haijafahamika hasa sababu za kufanyika kwa jambo hilo la Kishamba , bali kuna muonekano wa jambo hilo kuwa na msukumo wa kisiasa.
Bali ifahamike wazi kwamba kila anayeshiriki kufanya uchafu huu atalipwa kwa kiasi kile kile alichowekeza.
Mungu Ibariki Chadema
View attachment 2631845
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Shida ya nchi siasa ndio kila kitu. Sasa kama chama pinzani kimebuni mradi wa kuwasaidia watu kisha wakauzindua shida iko wapi? La msingi wananchi wamefaidikaTaarifa kutoka Mjini Njombe zinaelezwa kwamba Jiwe la Msingi lililokuwa na maandishi ya Uzinduzi wa mradi wa Maji Uliosimamiwa na Chadema limevunjwa na Maofisa wa Idara ya Maji Njombe.
Haijafahamika hasa sababu za kufanyika kwa jambo hilo la Kishamba , bali kuna muonekano wa jambo hilo kuwa na msukumo wa kisiasa.
Bali ifahamike wazi kwamba kila anayeshiriki kufanya uchafu huu atalipwa kwa kiasi kile kile alichowekeza.
Mungu Ibariki Chadema
View attachment 2631845
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Chuki na wivu zinakuandamaJengeni ofisi kwanza acheni ujinga. Jiwe baya kama ofisi yenu. Livunjwe na vipande vyake visagwesagwe vikatupwe Burundi. Nchi INA serikali ya kufanya vitu vya kiwango sio huo upupu.
Wapuuzi sanaTaarifa kutoka Mjini Njombe zinaelezwa kwamba Jiwe la Msingi lililokuwa na maandishi ya Uzinduzi wa mradi wa Maji Uliosimamiwa na Chadema limevunjwa na Maofisa wa Idara ya Maji Njombe.
Haijafahamika hasa sababu za kufanyika kwa jambo hilo la Kishamba , bali kuna muonekano wa jambo hilo kuwa na msukumo wa kisiasa.
Bali ifahamike wazi kwamba kila anayeshiriki kufanya uchafu huu atalipwa kwa kiasi kile kile alichowekeza.
Mungu Ibariki Chadema
View attachment 2631845
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Kwani kumbe siku izi chadema nao wanapenda kuzindua MIRADI ya maendeleo? Siku izi hawaiti VIMILADITaarifa kutoka Mjini Njombe zinaelezwa kwamba Jiwe la Msingi lililokuwa na maandishi ya Uzinduzi wa mradi wa Maji Uliosimamiwa na Chadema limevunjwa na Maofisa wa Idara ya Maji Njombe.
Haijafahamika hasa sababu za kufanyika kwa jambo hilo la Kishamba , bali kuna muonekano wa jambo hilo kuwa na msukumo wa kisiasa.
Bali ifahamike wazi kwamba kila anayeshiriki kufanya uchafu huu atalipwa kwa kiasi kile kile alichowekeza.
Mungu Ibariki Chadema
View attachment 2631845
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Huo mradi uliasisiwa na wanachadema..na hao ndio waliojipang na kuchangishana jombi.. na kushirikisha wanadau wwngine.so Hamna hela ya serikali Wala CCM.Miradi ya maji inajengwa kwa fedha za serikali. Sasa chama cha upinzani hapo kinaingiaje kwenda kufungua mradi. Mbona sijaona nchi nzima CCM wanafungua mradi. Huwa wanawakilishwa tu.
Acheni kujitoa ufahamu.
Respect bloodJengeni ofisi kwanza acheni ujinga. Jiwe baya kama ofisi yenu. Livunjwe na vipande vyake visagwesagwe vikatupwe Burundi. Nchi INA serikali ya kufanya vitu vya kiwango sio huo upupu.
Tuzingatie Sheria ,Kuna utaratibu hata wa kuchimba kisima .Tufuate utaratibuTaarifa kutoka Mjini Njombe zinaelezwa kwamba Jiwe la Msingi lililokuwa na maandishi ya Uzinduzi wa mradi wa Maji Uliosimamiwa na Chadema limevunjwa na Maofisa wa Idara ya Maji Njombe.
Haijafahamika hasa sababu za kufanyika kwa jambo hilo la Kishamba , bali kuna muonekano wa jambo hilo kuwa na msukumo wa kisiasa.
Bali ifahamike wazi kwamba kila anayeshiriki kufanya uchafu huu atalipwa kwa kiasi kile kile alichowekeza.
Mungu Ibariki Chadema
View attachment 2631845
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app