Njombe: Juma Kyando, adaiwa kumuua mke wake kisha kumkata vipande na kwenda kumtupa mtoni

hasira zitokanazo na mzozo wa kimapenzi ndani ya ndoa huwa zinaambatana na maamuzi magumu ya kukata shauri na matokeo yake huwa ni uharibifu na mauti kama hivo yaan,
kuepuka huwa ni nadra sana na ni kwa Neema za Mungu tu πŸ’
 
Aisee hili ni tatizo kubwa sana!haya mambo yamehama tarime yamehamia Njombe!duuh!wenye watoto wa kike hapa sijui tutalindaje binti zetu wasiolewe na wapuuzi kama hawa!

Nikumuomba mungu tu aisee!!! Imagine unapokea taarifa kama izo za binti yako aliye kuwa kaolewa na kibaya zaidi unakuta alisha kushtakia mara kadhaa kuhusu huyo mume
 
Njombe at it again, yeduhπŸ™Œ
 
Mwaka kama sio 204 hadi 2008 mkoa huo huo kuna mtu alikatwa mapanga vipande vipande wakatia kwenye sufuria kubwa wakatia na nyanya na vitunguu halafu wakainjika motoni halafu kichwa walikiweka juu kinachungulia nyama zinavyoiva. Ila inasemekana aliyechinjwa alihusishwa na ushirikina.
 
204 hadi 2008 ni hatari sana kipindi chote hicho ulikuepo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…