Ngurukia
JF-Expert Member
- Feb 25, 2023
- 4,407
- 16,942
tena bila ya aibu wala kificho.Kizazi hiki kimezidi kuchepuka na kuchapiana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tena bila ya aibu wala kificho.Kizazi hiki kimezidi kuchepuka na kuchapiana
usingepata fursa ya kuandika ulichoandika.Unadhani usingezaliwa kipi kingepungua?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kama wanashindana hiviNilisema baada ya lile tukio la Geita lazima Njombe walipe. Hawatakagi kukaa kizembe
Nadhani sasa hii mikoa ya Geita na Njombe nayo iwe kanda maalumu🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kama wanashindana hivi
Kanywe chai na mihogo naona tumbo linakuunguruma tu!Ndio
🤣🤣🤣🤣Mimi hata sina mambo mengi ndugu yangu, nimetulizana na shemeji yako huyohuyo mmoja.
Yeye Sasa ndio anizingue nimcharange 🤣🤣
Mkuu usibishane na asili, ni ukweli mtuptu wanawake wana midomo mirefu, ukibisha kwa hili "hongera" unathibitisha urefu wa midomo yenu lakini pia unathibitisha ufinyu wa hoja zenu.
SIUNGI MKONO mauaji yaliyotekelezwa na ndugu Kyando naamini kulikua na njia bora zaidi za kutatua mkwamo uliokua baina yao.