Njombe: Juma Kyando, adaiwa kumuua mke wake kisha kumkata vipande na kwenda kumtupa mtoni

Unadhani usingezaliwa kipi kingepungua?
usingepata fursa ya kuandika ulichoandika.

Najua dhamira yako ni shari lakini sitokupa hiyo faraja.

Uwe na siku njema ya amani ya nafsi.
 
Kwani ndoa zimekuwaje jamaniiii mbona tutaogopa kuingia sasa
 


Yawezekana uko sahihi, maana hata wewe sijui umerithi huu mdomo kwa mama zako ama shangazi zako?
 
Je kwa juma kyando hili ndo tukio lake LA kwanza?..huwa napenda sana kujua historia za maisha ya hawa wanaotenda ukatili was dizaini hii..kama yule was kigoma alieua familia nzima ya mwanaume aliekuwa anatembea na mkewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…