Mamaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 5,067
- 4,434
Wapo mpaka wa Lusitu, Matola, mpaka kule pande za ImaliloNiko hapa pia😆😆😆😆 nilijua jf ni watu wa daslam tu🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo mpaka wa Lusitu, Matola, mpaka kule pande za ImaliloNiko hapa pia😆😆😆😆 nilijua jf ni watu wa daslam tu🤣🤣
Watu wanajiamini, kutembea na mauzo ya wiki kwenye gari...Kivipi,hayo ni makusanyo ya wiki.
Mashelve ya kuweka niniPumba kwann kurudi na hela zote nyumbani kariakoo watu wana ma shelve tu
Balaa😟Watu wanajiamini, kutembea na mauzo ya wiki kwenye gari...
Balaa😟
Vipi umetamani 47M za Marehemu?Watu wanafanya biashara mmmmh hadi siyo poa
Unapambana usiku na mchana baadae unapata pesa unaanza kutumia na pisi kali na mishangazi baadae wanakupa ukimwi unakufa.Pesa bana unatafuta kwa shiiida
kumbe ndo kifo chako!!
Unajibana wee unanunua gari linabinuka linakuua
Unajibaana wee majambazi yanakuua
Unajibana wee ukizipata unaanza kula freshi sasa kumbe unatengeneza presha na sukari unakufa😂😂
Unajibaana wee ukiomba Mungu uzipate, ukizipata unajisahau na kusema hakuna mungu, unakufa 😂
Pesa hazieleweki toka enzi za kaka Yuda
Ma shelve wanayaacha dukani ama?Kama ni sehemu yenye security ni sawa ila kama ni sehemu isiyo na security pia inaweza ikawa tatizoPumba kwann kurudi na hela zote nyumbani kariakoo watu wana ma shelve tu
Dah life is not fair, wewe ulikuwa Ulaya last month wakati Mimi nilikuwa Ileje kumsalimia babuCash money Ulaya sio kama kwetu. Nilikua Ulaya last month, yaani almost kila mtu anatumia card.
Hapana wafanyakazi mtawaonea bure tu.Hapo wakamatwe wafa yakazi wake kwanza lazima watapata kianzio
Hahaha mbona powa tu kwenda kumsalimia babu, mtu kwao bwanaDah life is not fair, wewe ulikuwa Ulaya last month wakati Mimi nilikuwa Ileje kumsalimia babu
isingewezekana ,alivamiwa usiku,akafa siku ya pili ake.Poleni wafiwa! Mtu ana hela hivyo kwanini asingehamishiwa haraka Hospitary kubwa kama Agakhan, Muhimbili au nje ya Nchi?.
We umejuaje?Hizo ni 40 zake, baada ya hapo biashara na mali zake zote zitapotea