Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 9,164
- 18,402
Au pengine kwenye magombezi kamtisha mtt kwa uoga akaone ajiondoe uhai wakeLazima alikuwa na tatizo la muda mrefu. Kugombezwa siku moja kusingesababisha ajiue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au pengine kwenye magombezi kamtisha mtt kwa uoga akaone ajiondoe uhai wakeLazima alikuwa na tatizo la muda mrefu. Kugombezwa siku moja kusingesababisha ajiue
Wanawakubali wakitoa mafunzo kwa watoto na siyo kwa askari ambao wamekithiri kwa rushwa, ubambikiaji kesi, kuwazonga watumishi wa Mungu wanapoikosoa serikali na dhuruma kwa raiaKamanda Issah ametoa wito kwa Wazazi na Walezi kutafuta njia sahihi ya kuzungumza na Watoto huku pia akiomba Makanisa na Misikiti kuendelea kutoa mafunzo mema ya dini Kwa Watoto ili kutokuwa na maamuzi magumu.
Hizo gharama zote za ufatiliaji wewe utatoa?Hakuna mtu anaehoji hizi statement za kienyeji za polisi wa kibongo?
Amekunywa sumu gani?
Aliipata wapi ?
Wamejuaje kainywa mwenyewe ?
Kwa nini mchukue statement za Baba wa mtoto kama zilivyo wakati huyu ndio suspect number one ???
Nchi zilizoendelea suspect namba moja ni aliyemwona marehemu mara ya mwisho au aliyeripoti kifo au closest family members.
Pelekeni polisi, waandishi na waganga nje wakasome au wawekeeni films za Forensic Files, 48 Hours, CSI, Criminal Scene Investigation.
What if baba kampiga fimbo ya kichwa mtoto akaanguka mazima baba akakimbilia polisi na mchongo wa sumu ? Think a bit deeper guys.
Kosa lipi hapo la kuonya? Mpaka itafutwe njia sahihi.Mtoto mmoja Wilayani Makete mkoa wa Njombe amekutwa amefariki kwa kujiua kutokana na kunywa sumu baada ya kuonywa kwa kufokewa na Baba yake aliyekuwa akimuonya baada ya kuwaacha punda waliokwenda kula mazao kwenye shamba la Watu.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe Hamis Issah amesema Mtoto huyo aliacha punda aliokuwa nao machungani na kwenda kucheza na Watoto wenzake hali iliyomfanya Baba yake kumuonya baada ya kupokea malalamiko kutoka kwa mwenye shamba.
“Huyu Mtoto alipewa punda akachunge, akawaacha na akaenda kucheza na matokeo yake wale punda wakala shamba la Mtu, Mzee wake akalalamikiwa ndipo akamuita Mtoto lakini kitendo cha Mzee kumfokea yule Mtoto achunge punda kwa umakini, yeye akachukua maamuzi magumu akatafuta sumu akanywa na kufariki”
Kamanda Issah ametoa wito kwa Wazazi na Walezi kutafuta njia sahihi ya kuzungumza na Watoto huku pia akiomba Makanisa na Misikiti kuendelea kutoa mafunzo mema ya dini Kwa Watoto ili kutokuwa na maamuzi magumu.
SahihiLazima alikuwa na tatizo la muda mrefu. Kugombezwa siku moja kusingesababisha ajiue