Njombe: Mtoto ajiua baada ya kufokewa na baba yake

Kamanda Issah ametoa wito kwa Wazazi na Walezi kutafuta njia sahihi ya kuzungumza na Watoto huku pia akiomba Makanisa na Misikiti kuendelea kutoa mafunzo mema ya dini Kwa Watoto ili kutokuwa na maamuzi magumu.
Wanawakubali wakitoa mafunzo kwa watoto na siyo kwa askari ambao wamekithiri kwa rushwa, ubambikiaji kesi, kuwazonga watumishi wa Mungu wanapoikosoa serikali na dhuruma kwa raia
 
Hizo gharama zote za ufatiliaji wewe utatoa?
 
Kosa lipi hapo la kuonya? Mpaka itafutwe njia sahihi.

Kamanda aache ujinga.

Watu wakichapa viboko shidaz kuonya kwa mdomo shida

Wazazi tufanye nini sasa?
 
Dogo angekutana na mzee wangu angejinyonga siku ileile anazaliwa.
Kuna kitu hakiko sawa, hawajasema mtoto ana umri gani na baba alimkanya vipi mpaka mtoto achukue maamuzi magumu.
Bila shaka kuna kitu cha muda mrefu kizito na kichungu alikuwa nacho moyoni, lakini baada ya huo mkasa uvumilivu ukamshinda na kuamua kuchukua maisha yake.
Huyo mzazi anatakiwa akamatwe ahojiwe kwa kina na kuelezea maisha yote ya nyuma ya mtoto, hapo ndio watakuja na conclusion. labda kuna kitu kingine alimtamkia au alimfanyia ambacho kwa umri wa mtoto ni ngumu kuweza kusuluhisha kichwani kwake akili yake ya kitoto au kuliongelea.

Kuna asilimia 60% inawezekana mzazi ndio anahusika moja kwa moja na kifo cha mtoto, hasa kama mzazi ni mlevi.
 
Waliewapindikiza Watu, wa Iringa, kuwa kususa kuzuri, nikuwaachia Dunia, alipanda mbegu mbaya sana.
 
inasikitisha sana kwa kweli, yaani kufokewa tu mtu kajiua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…