Njombe: Mtoto wa Miaka 12 akamatwa kwa tuhuma za kumlawiti Mtoto wa Miaka 10 kiasi cha kumuharibu

Njombe: Mtoto wa Miaka 12 akamatwa kwa tuhuma za kumlawiti Mtoto wa Miaka 10 kiasi cha kumuharibu

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532
Jeshi la Polisi Mkoa wa Njombe linamshikilia mtoto wa umri wa miaka (12) kwa tuhuma za kumlawiti mwanafunzi wa darasa la nne (10) katika shule moja iliyopo Makambako mkoani Njombe.

Hayo yamebainishwa leo Aprili 13, 2024 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe Mahamoud Banga zungumza na waandishi wa habari mkoani hapa.

Amesema tukio hilo lilitokea Aprili 4, 2024 Mtaa wa Jeshini mjini Makambako.

Amesema mwanafunzi huyo alikuwa akilawitiwa kwa ahadi ya kupewa fedha na mtuhumiwa huyo ambaye aliacha shule akiwa darasa la sita.

"Mtuhumiwa huyu anaonekana aliacha shule akiwa darasa la sita lakini amekuwa akimfanyia hivi vitendo kwa muda mrefu kwa ahadi ya kumpatia fedha," amesema Banga.

Amesema kwa muda wote huo mwanafunzi huyo hakusema kwa wazazi lakini tabia yake ilianza kubadilika baada ya kuwa anatokwa na haja kubwa na baada ya mama yake kumwadhibu, ndipo alisema kuwa anafanyiwa vitendo hivyo.

Ongezeko la matukio ya ulawiti hapa nchini Tanzania ni tatizo linalozidi kuongezeka, hususan kutokana na kuibuka kwa matikio yanayohusisha watoto, hali hii inaleta wasiwasi kwa jamii na kuathiri maendeleo ya kijamii na ustawi wa watoto.

Hii ni aina ya unyanyasaji wa kijinsia ambao unahusisha kutumia nguvu au ulaghai, na ni matukio yanayokandamiza haki za binadamu na kusababisha madhara makubwa kisaikolojia, kimwili na kijamii kwa wahusika, hususan watoto.

Mwananchi
 
Kama namuona Shetani anavyochekelea huko alipo anavyoona juhudi zake za kuingamiza jamii ya Kitanzania zinavyozidi kufanikiwa 😅😅
 
Mh Gwajima asbh nilikuwambia Twitter huko kuwa paleka mswaada bungenii sheria ibadilishwe hawa walawiti na wabakaji nao wanapewa dhamana

Ibadilishwe hi kitu taifa litakuja kuwa la walawiti
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Njombe linamshikilia mtoto wa umri wa miaka (12) kwa tuhuma za kumlawiti mwanafunzi wa darasa la nne (10) katika shule moja iliyopo Makambako mkoani Njombe.

Hayo yamebainishwa leo Aprili 13, 2024 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe Mahamoud Banga zungumza na waandishi wa habari mkoani hapa.
Hapo Makambako fanyeni mkakati wa kusawazisha hali ya hewa, majuzi tu kuna mtu anaitwa Mkane amefanya hayohayo
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Njombe linamshikilia mtoto wa umri wa miaka (12) kwa tuhuma za kumlawiti mwanafunzi wa darasa la nne (10) katika shule moja iliyopo Makambako mkoani Njombe.

Hayo yamebainishwa leo Aprili 13, 2024 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe Mahamoud Banga zungumza na waandishi wa habari mkoani hapa.

Amesema tukio hilo lilitokea Aprili 4, 2024 Mtaa wa Jeshini mjini Makambako.

Amesema mwanafunzi huyo alikuwa akilawitiwa kwa ahadi ya kupewa fedha na mtuhumiwa huyo ambaye aliacha shule akiwa darasa la sita.

"Mtuhumiwa huyu anaonekana aliacha shule akiwa darasa la sita lakini amekuwa akimfanyia hivi vitendo kwa muda mrefu kwa ahadi ya kumpatia fedha," amesema Banga.

Amesema kwa muda wote huo mwanafunzi huyo hakusema kwa wazazi lakini tabia yake ilianza kubadilika baada ya kuwa anatokwa na haja kubwa na baada ya mama yake kumwadhibu, ndipo alisema kuwa anafanyiwa vitendo hivyo.

Ongezeko la matukio ya ulawiti hapa nchini Tanzania ni tatizo linalozidi kuongezeka, hususan kutokana na kuibuka kwa matikio yanayohusisha watoto, hali hii inaleta wasiwasi kwa jamii na kuathiri maendeleo ya kijamii na ustawi wa watoto.

Hii ni aina ya unyanyasaji wa kijinsia ambao unahusisha kutumia nguvu au ulaghai, na ni matukio yanayokandamiza haki za binadamu na kusababisha madhara makubwa kisaikolojia, kimwili na kijamii kwa wahusika, hususan watoto.


Mwananchi
Hope huyo dogo mtuhumiwa ni jamii ya kina adriz Mufti kuku The Infinity hydroxo Jagina darcity na Accumen Mo ntafurahi balaa.
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Njombe linamshikilia mtoto wa umri wa miaka (12) kwa tuhuma za kumlawiti mwanafunzi wa darasa la nne (10) katika shule moja iliyopo Makambako mkoani Njombe.

Hayo yamebainishwa leo Aprili 13, 2024 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe Mahamoud Banga zungumza na waandishi wa habari mkoani hapa.

Amesema tukio hilo lilitokea Aprili 4, 2024 Mtaa wa Jeshini mjini Makambako.

Amesema mwanafunzi huyo alikuwa akilawitiwa kwa ahadi ya kupewa fedha na mtuhumiwa huyo ambaye aliacha shule akiwa darasa la sita.

"Mtuhumiwa huyu anaonekana aliacha shule akiwa darasa la sita lakini amekuwa akimfanyia hivi vitendo kwa muda mrefu kwa ahadi ya kumpatia fedha," amesema Banga.

Amesema kwa muda wote huo mwanafunzi huyo hakusema kwa wazazi lakini tabia yake ilianza kubadilika baada ya kuwa anatokwa na haja kubwa na baada ya mama yake kumwadhibu, ndipo alisema kuwa anafanyiwa vitendo hivyo.

Ongezeko la matukio ya ulawiti hapa nchini Tanzania ni tatizo linalozidi kuongezeka, hususan kutokana na kuibuka kwa matikio yanayohusisha watoto, hali hii inaleta wasiwasi kwa jamii na kuathiri maendeleo ya kijamii na ustawi wa watoto.

Hii ni aina ya unyanyasaji wa kijinsia ambao unahusisha kutumia nguvu au ulaghai, na ni matukio yanayokandamiza haki za binadamu na kusababisha madhara makubwa kisaikolojia, kimwili na kijamii kwa wahusika, hususan watoto.


Mwananchi
🙄
 
Viongozi wa serikali kwanza wanatakiwa wawe chachu katika kukemea na kupinga matukio ya kulawiti watoto na pia wasiwe Ndo wanaotenda makosa ya kulawiti na usagaji na Vile vile Sheria ngumu sana itungwe ili iwe jambo la kuogopeka sana
"Tuwalinde watoto wetu"
 
Tuhuma sio uthibitisho, sijaona mtuhumiwa alipokiri kufanya hayo pia. Wana ukaribu sana wa umri hao watoto 10 kwa 12 nashauri huyo mtuhumiwa na yeye akapimwe hali yake.

Inawezekana ikawa wote ni.wahanga wa mtu mwingine ila huyu kamtaja mwenzake sababu kwanza ni mdogo kiumri na pengine wanafanyiwa hayo pamoja na mtu mwingine.

Najaribu kuwaza ahadi ya kupewa fedha huyu aliikubali vipi au alikuwa anajiuza?, maana ni wazi huyo mtoto wa miaka 12 hana fedha yakumshawishi nayo kama alimshawishi kwa fesha basi huyo mtoto mhanga alishaanza hiyo tabia siku nyingi sana.

Watu wa saikolojia na sayansi ya uhalifu wanatakiwa sana kuhusishwa kwenye matukjo ya hivi, polisi hawapaswi kwenda na matukio ya hivi kama wana dili na wizi wa kuku au vibaka.

Hata kulitoa kwenye media hivi ni mkakati mbovu huu, haya matukio hayapaswi kwenda hewani mapema bali kwa mwaka wanatakiwa kutoa taarifa kwa umma kwa mfumo wa takwimu zaidi.

Bado tuna safari ndefu sana kama taifa.
 
Mtoto wa miaka 12 anasimamisha na kuweza kumuingilia mtu?? Hii habari mbona km ina ukakasi?? Basi hii hatari
 
Haya yote ni madhara ya kusambaa kwa video za ngono, athari za malezi na mmomonyoko wa maadili
 
Back
Top Bottom