captain 21
JF-Expert Member
- Mar 27, 2021
- 585
- 1,185
Hahahah! Noma sanaApumzike kwa amani, niliwahi jaribu kufanya huu mchezo aise nilipigwa na ndala mpaka ikafika kipindi nikiona kamba za kuanikia nguo nywele zinasisimka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah! Noma sanaApumzike kwa amani, niliwahi jaribu kufanya huu mchezo aise nilipigwa na ndala mpaka ikafika kipindi nikiona kamba za kuanikia nguo nywele zinasisimka.
Mtoto wa ki Tz wa miaka 9 wanajua mpaka watoto wanavyopatikana. Hata kujichua nyeto wanajua. Wanajua Nani Ni shoga darasani kwao. Wewe waone tu wamekula pozi ukajiondoa ufahamu.Aiseee, michezo hii ya watoto ni kutokana na kuangalia movie ambazo ziko abavu zeiya eji.....majumbani epusheni watoto kuangalia movie zenye visa kama susaidi au mapigano.
Inawezekana kwasababu kizazi hiki kina mengi, enzi zetu miaka hiyo unajua kuchunga mbuzi tuMtoto wa ki Tz wa miaka 9 wanajua mpaka watoto wanavyopatikana. Hata kujichua nyeto wanajua. Wanajua Nani Ni shoga darasani kwao. Wewe waone tu wamekula pozi ukajiondoa ufahamu.
👊👊watoto wanafanya kile wanachokiona, kuna mengi sana ya kuzingatia wakati wa malezi, nakumbuka wakati tunakuwa ilikiwa marufuku kuangalia movie za ngumi, siku hizi access imekuwa soft sana watoto wanaona kila kitu, hata mfano watoto wanacheza mchezo wa kibaba na kimama wanafanya yale wanayoona wazazi wao wanafanya usiku, utakuta wanasema tufanyw kama baba na mama wanakitanisha vikojoleo, hii mambo ya kulala single room na watoto, Mungu atuepushe
Watoto huiga wanayoyaona.Daaaa jasiri haachi asili .R I P mtoto mzuri