watoto wanafanya kile wanachokiona, kuna mengi sana ya kuzingatia wakati wa malezi, nakumbuka wakati tunakuwa ilikiwa marufuku kuangalia movie za ngumi, siku hizi access imekuwa soft sana watoto wanaona kila kitu, hata mfano watoto wanacheza mchezo wa kibaba na kimama wanafanya yale wanayoona wazazi wao wanafanya usiku, utakuta wanasema tufanyw kama baba na mama wanakitanisha vikojoleo, hii mambo ya kulala single room na watoto, Mungu atuepushe