Njombe: Mwanafunzi wa miaka 9 afariki wakati akicheza mchezo wa kujinyonga na wadogo zake

Aiseee, michezo hii ya watoto ni kutokana na kuangalia movie ambazo ziko abavu zeiya eji.....majumbani epusheni watoto kuangalia movie zenye visa kama susaidi au mapigano.
Mtoto wa ki Tz wa miaka 9 wanajua mpaka watoto wanavyopatikana. Hata kujichua nyeto wanajua. Wanajua Nani Ni shoga darasani kwao. Wewe waone tu wamekula pozi ukajiondoa ufahamu.
 
Mtoto wa ki Tz wa miaka 9 wanajua mpaka watoto wanavyopatikana. Hata kujichua nyeto wanajua. Wanajua Nani Ni shoga darasani kwao. Wewe waone tu wamekula pozi ukajiondoa ufahamu.
Inawezekana kwasababu kizazi hiki kina mengi, enzi zetu miaka hiyo unajua kuchunga mbuzi tu
 
👊👊
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…