Pre GE2025 Njombe: Rais Samia achangiwa zaidi ya milioni 2 za kuchukua fomu za kugombea urais

Pre GE2025 Njombe: Rais Samia achangiwa zaidi ya milioni 2 za kuchukua fomu za kugombea urais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Ikiwa ni wiki moja imepita tangu chama cha mapinduzi CCM kimpitishe Rais Samia kuwa mgombea pekee wa Urais kwa tiketi ya chama hicho na Dr Emmanuel Nchimbi kuwa mgombea Mwenza kwa nafasi ya Makamu Rais katika uchaguzi mkuu wa 2025.

Maelfu ya wafuasi wa chama cha mapinduzi pamoja na Makundi mbalimbali katika jamii wamefanya maandamano kwa kuridhika na uamuzi huo na kisha kuchangishana fedha kiasi cha Mil 2,060,000 zitakazotumika na viongozi hao kuchukua fomu za urais muda utakapofika.

Soma Pia:
Makundi hayo ni pamoja na Mama Ntilie,Wanamuziki,Viongozi wa Kimila,Dini na Walimu ambapo wamekiri kuridhishwa na utendaji kazi wa viongozi hao huku wakichanga Fedha kwa ajili ya Fomu ya kugombea Urais.

Wakiweka wazi kilicho wasukuma kufanya maandamano ya amani na kisha kuchangishana fedha kwa ajili ya kumlipia fomu ya kugombea Urais wafuasi wa chama cha mapinduzi na wawakilishi wa makundi mbalimbali

Snapinst.app_474457343_18480702175023611_2906301016072762936_n_1080.jpg
Snapinst.app_472430960_18480702133023611_4003594925237138809_n_1080.jpg
 
Kwani watatoa fomu tena, si washavuka kupora uchaguzi wapo next level wamejimilikisha kabisa sasa uongozi hamna uchaguzi wa chama chao?
 
Ikiwa ni wiki moja imepita tangu chama cha mapinduzi CCM kimpitishe Rais Samia kuwa mgombea pekee wa Urais kwa tiketi ya chama hicho na Dr Emmanuel Nchimbi kuwa mgombea Mwenza kwa nafasi ya Makamu Rais katika uchaguzi mkuu wa 2025.

Maelfu ya wafuasi wa chama cha mapinduzi pamoja na Makundi mbalimbali katika jamii wamefanya maandamano kwa kuridhika na uamuzi huo na kisha kuchangishana fedha kiasi cha Mil 2,060,000 zitakazotumika na viongozi hao kuchukua fomu za urais muda utakapofika.

Soma Pia:
Makundi hayo ni pamoja na Mama Ntilie,Wanamuziki,Viongozi wa Kimila,Dini na Walimu ambapo wamekiri kuridhishwa na utendaji kazi wa viongozi hao huku wakichanga Fedha kwa ajili ya Fomu ya kugombea Urais.

Wakiweka wazi kilicho wasukuma kufanya maandamano ya amani na kisha kuchangishana fedha kwa ajili ya kumlipia fomu ya kugombea Urais wafuasi wa chama cha mapinduzi na wawakilishi wa makundi mbalimbali

View attachment 3214079View attachment 3214080
Samia apige marufuku huu ujinga maana utamgharimu huko mbeleni.. Wanaompenda sana wafanye hivyo kimyakimya, haya maigizo yanazidi kuchochea hasira
 
Ikiwa ni wiki moja imepita tangu chama cha mapinduzi CCM kimpitishe Rais Samia kuwa mgombea pekee wa Urais kwa tiketi ya chama hicho na Dr Emmanuel Nchimbi kuwa mgombea Mwenza kwa nafasi ya Makamu Rais katika uchaguzi mkuu wa 2025.

Maelfu ya wafuasi wa chama cha mapinduzi pamoja na Makundi mbalimbali katika jamii wamefanya maandamano kwa kuridhika na uamuzi huo na kisha kuchangishana fedha kiasi cha Mil 2,060,000 zitakazotumika na viongozi hao kuchukua fomu za urais muda utakapofika.

Soma Pia:
Makundi hayo ni pamoja na Mama Ntilie,Wanamuziki,Viongozi wa Kimila,Dini na Walimu ambapo wamekiri kuridhishwa na utendaji kazi wa viongozi hao huku wakichanga Fedha kwa ajili ya Fomu ya kugombea Urais.

Wakiweka wazi kilicho wasukuma kufanya maandamano ya amani na kisha kuchangishana fedha kwa ajili ya kumlipia fomu ya kugombea Urais wafuasi wa chama cha mapinduzi na wawakilishi wa makundi mbalimbali

View attachment 3214079View attachment 3214080
Anachangiwa hela nyingi sana, kwani fomu bei gani?

Hili ni kama kundi la 5 kuchanga, Walianza kuchanga Walimu walipokuwa kikao chao kule Mwanza mwaka juzi.
 
Ikiwa ni wiki moja imepita tangu chama cha mapinduzi CCM kimpitishe Rais Samia kuwa mgombea pekee wa Urais kwa tiketi ya chama hicho na Dr Emmanuel Nchimbi kuwa mgombea Mwenza kwa nafasi ya Makamu Rais katika uchaguzi mkuu wa 2025.

Maelfu ya wafuasi wa chama cha mapinduzi pamoja na Makundi mbalimbali katika jamii wamefanya maandamano kwa kuridhika na uamuzi huo na kisha kuchangishana fedha kiasi cha Mil 2,060,000 zitakazotumika na viongozi hao kuchukua fomu za urais muda utakapofika.

Soma Pia:
Makundi hayo ni pamoja na Mama Ntilie,Wanamuziki,Viongozi wa Kimila,Dini na Walimu ambapo wamekiri kuridhishwa na utendaji kazi wa viongozi hao huku wakichanga Fedha kwa ajili ya Fomu ya kugombea Urais.

Wakiweka wazi kilicho wasukuma kufanya maandamano ya amani na kisha kuchangishana fedha kwa ajili ya kumlipia fomu ya kugombea Urais wafuasi wa chama cha mapinduzi na wawakilishi wa makundi mbalimbali

View attachment 3214079View attachment 3214080
Hao ni WAJINGA kabisa, ni CHAWA katika Ubora wako

CCM imekiuka tatatibu za kumteua mgombea wake, ndani ya chama taratibu zimekiukwa.

Taratibu za Tume ya uchaguzi zimekiukwa sana,
KIMSINGI CCM Bado haijapitisha mgombea kwa vile dirisha Bado halijafunguliwa na Tume.

Aliyemshauri Samia, walioshauri ni AKILI KUBWA, wamefanya ili baadae awekewe PINGAMIZI, asiteuliwe ili CCM ije sasa na mtu wanayemhitaji.

KUHUSU MCHANGO WA FOMU, waliochanga ni wajinga, walitakiwa wachangie KUJENGA MATUNDU YA VYOO VYA WATOTO WAO MASHULENI, kuliko kuchangia mtu aliyekiuka TARATIBU ZA CHAMA, na ambaye hawezi kushinda uchaguzi.

Nawaonea huruma sana wale ambao wameweka matumaini yao kwa SAMIA SULUHU HASSAN.🤔🤔🤔🤔🚴🚴🚴
 
Ya CCM si tu kwamba hakuilipia bali hakuchukua kabisa, Yaani haipo!
 
Ikiwa ni wiki moja imepita tangu chama cha mapinduzi CCM kimpitishe Rais Samia kuwa mgombea pekee wa Urais kwa tiketi ya chama hicho na Dr Emmanuel Nchimbi kuwa mgombea Mwenza kwa nafasi ya Makamu Rais katika uchaguzi mkuu wa 2025.

Maelfu ya wafuasi wa chama cha mapinduzi pamoja na Makundi mbalimbali katika jamii wamefanya maandamano kwa kuridhika na uamuzi huo na kisha kuchangishana fedha kiasi cha Mil 2,060,000 zitakazotumika na viongozi hao kuchukua fomu za urais muda utakapofika.

Soma Pia:
Makundi hayo ni pamoja na Mama Ntilie,Wanamuziki,Viongozi wa Kimila,Dini na Walimu ambapo wamekiri kuridhishwa na utendaji kazi wa viongozi hao huku wakichanga Fedha kwa ajili ya Fomu ya kugombea Urais.

Wakiweka wazi kilicho wasukuma kufanya maandamano ya amani na kisha kuchangishana fedha kwa ajili ya kumlipia fomu ya kugombea Urais wafuasi wa chama cha mapinduzi na wawakilishi wa makundi mbalimbali

View attachment 3214079View attachment 3214080
Nacheka kama mazuri
 
Back
Top Bottom