The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Anthony Mtaka amepiga marufuku wataalamu wa afya mkoani humo kutoza fedha wala vifaa tiba kwa mama mjamzito kwa kuwa huduma ya mama na mtoto ni bure, na kuwataka kufuata muongozo wa Sera ya Afya kwa usahihi.
RC Mtaka ametoa agizo hilo wakati wa kikao cha Kamati ya Ushauri Mkoa (RCC) ambapo amesema wanawake wajawazito hawatozwi gharama za kujifungua hivyo wataamu wa afya wanapaswa kutekeleza agizo hilo.
"Wanawake wajawazito hawatozwi gharama za kujifungua, sitakubali kusikiliza kwamba mtu ameenda hospitali ameambiwa ‘gloves’ haipo, nyuzi ya kushona haipo, sijui pamba haipo tusiruhusu hilo jambo", amesema RC Mtaka
Pia soma: RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani.
RC Mtaka ametoa agizo hilo wakati wa kikao cha Kamati ya Ushauri Mkoa (RCC) ambapo amesema wanawake wajawazito hawatozwi gharama za kujifungua hivyo wataamu wa afya wanapaswa kutekeleza agizo hilo.
"Wanawake wajawazito hawatozwi gharama za kujifungua, sitakubali kusikiliza kwamba mtu ameenda hospitali ameambiwa ‘gloves’ haipo, nyuzi ya kushona haipo, sijui pamba haipo tusiruhusu hilo jambo", amesema RC Mtaka
Pia soma: RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani.