Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shangaa na weweHvi yule unamwona kichwani kuna kitu? Mtu ambaye waziri anaenda kwake kikazi anazuiwa na sijui hawara yake asimwone?
Na ukaamua kujiita macho mdiliko,ila sioni ajabu yawezekana hata ofisini kwenyewe hakai.Hvi yule unamwona kichwani kuna kitu? Mtu ambaye waziri anaenda kwake kikazi anazuiwa na sijui hawara yake asimwone?
At least Mwongozo wa Sera ya Afya ndiyo unavyoagiza!Ni kweli Huduma ni Bure au ni siasa tuu za kusagiana kunguni?
Wekeni risiti hapa aumbuliwe sio mnapiga maneno tu.Huyu jamaa sio kiongozi mzuri maana ni mwongo na watanzania wengi wanapenda watu wa aina hii wale wanaosema ukweli hutuwataki kumbe kiongozi akisema ukweli ataonyesha tatizo lilipo ili litatuliwe.