Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Anthony Mtaka amepiga marufuku wataalamu wa afya mkoani humo kutoza fedha wala vifaa tiba kwa mama mjamzito kwa kuwa huduma ya mama na mtoto ni bure, na kuwataka kufuata muongozo wa Sera ya Afya kwa usahihi.
RC Mtaka ametoa agizo hilo wakati wa kikao cha Kamati ya Ushauri Mkoa (RCC) ambapo amesema wanawake wajawazito hawatozwi gharama za kujifungua hivyo wataamu wa afya wanapaswa kutekeleza agizo hilo.
"Wanawake wajawazito hawatozwi gharama za kujifungua, sitakubali kusikiliza kwamba mtu ameenda hospitali ameambiwa ‘gloves’ haipo, nyuzi ya kushona haipo, sijui pamba haipo tusiruhusu hilo jambo", amesema RC Mtaka
Nchi hii inaujinga sana.kinachosemwa ni tofauti na uhalisia.Bora kichaa chalamila alisema ukweli kuwa Huwa wanatozwa pesa wakati wa kujifungua pamoja na watoto chini ya umri wa miaka mitano Huwa wanahudumiwa Kwa pesa japo kuwa sera ya wizara ya afya ni kupata huduma bure
Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Anthony Mtaka amepiga marufuku wataalamu wa afya mkoani humo kutoza fedha wala vifaa tiba kwa mama mjamzito kwa kuwa huduma ya mama na mtoto ni bure, na kuwataka kufuata muongozo wa Sera ya Afya kwa usahihi.
RC Mtaka ametoa agizo hilo wakati wa kikao cha Kamati ya Ushauri Mkoa (RCC) ambapo amesema wanawake wajawazito hawatozwi gharama za kujifungua hivyo wataamu wa afya wanapaswa kutekeleza agizo hilo.
"Wanawake wajawazito hawatozwi gharama za kujifungua, sitakubali kusikiliza kwamba mtu ameenda hospitali ameambiwa ‘gloves’ haipo, nyuzi ya kushona haipo, sijui pamba haipo tusiruhusu hilo jambo", amesema RC Mtaka
Huyu jamaa sio kiongozi mzuri maana kasifiwa mbio kapiliza nyumbani?
Naamini Bora mropokaji anayesema ukweli kuliko anayejifanya anabusara muongo.
Maana mkweli anafanya tujue Kuna tatizo tutalijadiri ila mwongo anayejifanya anabusara anafanya propaganda ionekane tatizo hakuna wakati lipo.
Sera ya afya ya taifa yote ni moja DSM na Njombe Sasa huyo mwongo atueleze hiyo budget wameitoa wapi ili tujue DSM wamefeli wapi
Huyu jamaa sio kiongozi mzuri maana ni mwongo na watanzania wengi wanapenda watu wa aina hii wale wanaosema ukweli hutuwataki kumbe kiongozi akisema ukweli ataonyesha tatizo lilipo ili litatuliwe.
Huyu jamaa sio kiongozi mzuri maana ni mwongo na watanzania wengi wanapenda watu wa aina hii wale wanaosema ukweli hutuwataki kumbe kiongozi akisema ukweli ataonyesha tatizo lilipo ili litatuliwe.
Huyu jamaa sio kiongozi mzuri maana kasifiwa mbio kapiliza nyumbani?
Naamini Bora mropokaji anayesema ukweli kuliko anayejifanya anabusara muongo.
Maana mkweli anafanya tujue Kuna tatizo tutalijadiri ila mwongo anayejifanya anabusara anafanya propaganda ionekane tatizo hakuna wakati lipo.
Sera ya afya ya taifa yote ni moja DSM na Njombe Sasa huyo mwongo atueleze hiyo budget wameitoa wapi ili tujue DSM wamefeli wapi
Kama sera na muongozo wa wizara ya Afya unasema huduma za mama mjamzito kujifungua ni bure, sasa mjamzito anapodaiwa kulipa pesa ya kujifungua wakati huduma hizo ni bure hiyo pesa inakwenda kwa nani?
Harafu huyu mjinga anafanya siasa kwenye maisha na afya za watu na kuwasababishia mzigo watumishi wa afya maana watu hawatajiandaa harafu wakifika huko waanze kulaumu watumishi maana sidhani kama hao watumishi wakiuza hizo groves Hela wanachukua wao
Harafu huyu mjinga anafanya siasa kwenye maisha na afya za watu na kuwasababishia mzigo watumishi wa afya maana watu hawatajiandaa harafu wakifika huko waanze kulaumu watumishi maana sidhani kama hao watumishi wakiuza hizo groves Hela wanachukua wao
Kama sera na muongozo wa wizara ya Afya unasema huduma za mama mjamzito kujifungua ni bure, sasa mjamzito anapodaiwa kulipa pesa ya kujifungua wakati huduma hizo ni bure hiyo pesa inakwenda kwa nani?
Mimi nnachosemea ni kiongozi kuwa mkweli watu wanalipishwa fedha harafu yeye asema hawalipishwi ili apate millage kisiasa au amoutsmart kiongozi mwingine
Nchi hii inaujinga sana.kinachosemwa ni tofauti na uhalisia.Bora kichaa chalamila alisema ukweli kuwa Huwa wanatozwa pesa wakati wa kujifungua pamoja na watoto chini ya umri wa miaka mitano Huwa wanahudumiwa Kwa pesa japo kuwa sera ya wizara ya afya ni kupata huduma bure