Njombe: Viongozi wa CHADEMA pamoja na dalali wa mbao wakamatwa kwa kuhusishwa na mauaji ya Kada wa CCM Emmanuel Mlelwa

Nchi kuharibika hua ni process.nchi hua haiaribiki overnight,tueni makini sana.lets not poison the village well

MUNGU amhukumu kwa huruma marehem,amfutie dhambi zake zote Na ampatie haki yake alionyanganywa hapa duniani
 
Huku bara mhalifu lazima awe Chadema wakati wa uchaguzi sawa na kule Zanzibar ilikuwa mhalifu awe Cuf wakati huo. Hii inaonesha polisi wanatumika kisiasa zaidi ya uweledi wa kiusalama


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Inawezekana vipi kada wa chadema awasiliane na kada wa CCM? hapa hakuna ukweli ni njama
 
Nikiona mtu wa CHADEMA amani huwa inaniisha,wao wanaamini njia kuuu ya kusuruhisha mambo ni kuwa,ona sasa wanaenda kufia jela,na hata kama watatoka sio Leo au kesho,wataonja joto la jiwe

Siasa za namna hii hazifai hata kidogo,
 
Chadema ikichukua nchi oktoba 28 italifuta jeshi la polisi , huu ujinga wa kuwanunua wagombea udiwani ulipangwa na kwamba wakikataa watapewa kesi yoyote , na hii imevuja tangu wiki 2 zilizopita eti leo ndio inatekelezwa ! Poor Polisi
Mwambie Masonga ajiandae kisaikolojia kwa sababu ndiye mchora ramani.
 
Siasa tu, yaani vyama vinatajwa kana kwamba ni mashindano. Mi nadhani kama wamehusika wangeshughulikiwa wao binafsi hii vyama vyama kutajwa inapoteza nia njema ya jeshi la polisi
Mkuu huu ndio utaratibu,kwani nani hajui kuwa CHADEMA wamekuwa wakiendesha mipango ya mauaji kwa raia sema na wale wote wanao wahisi kuwa wanawapinga?
 
Police wamejuaje kuwa ule mkanda wa kiunoni ulikuwa wa marehemu ?

Au ulikuwa na jina la marehemu ?
Duh..maswali mengine ni ya ajabu kwa kweli...uelewa wa baadhi yetu uko chini Sana....poor Tanzania...
 
Nikiona mtu wa CHADEMA amani huwa inaniisha,wao wanaamini njia kuuu ya kusuruhisha mambo ni kuwa,ona sasa wanaenda kufia jela,na hata kama watatoka sio Leo au kesho,wataonja joto la jiwe

Siasa za namna hii hazifai hata kidogo,
Ndo mana Lissu anasema akiwa Rais kila kesi itakuwa na mdhamana,wengi walioko magereza ni kesi za kubambikiwa..
 
Kiongozi mkubwa wa CCM aliyetaka kumuua Tundu Lissu amekamatwa?

Mara nyingi Tundu Lissu amemtaja bayana muuaji yule kwa kuonyesha ushiriki wake mwanzo mwisho lkn polisi wako kimya....

Je yuko juu ya sheria?
 
Kuna hasara sababu kuna siku atakuja kuwa chadema na pia kuwa kiongozi mkubwa sana wa upinzani. Rejea waliotoka ccm na sasa ni viongozi huko upinzani.

Mfano nyalandu ni mwenyekiti wa chadema kanda ya kati, na ni mmoja wa viongozi wa chadema wanaosifika sana kwa utendaji
Ninajiuliza hivi akifa ccm kuna hasara yoyote?
 
CHADEMA waporadhi wauwe ili wapate madaraka.embu muogopeni Mungu hata kidogo.
 
Polepole alitoa agizo kwa Sirro juzi. Na kasema mauaji yametekelezwa na "chama cha Mbowe". Kamanda katekeleza kama alivyoagizwa! Nchi imejaa unafiki sana.
Kama kuna watu wanaagiza kubambikia kesi za uongo wenzao kwa matakwa ya kisiasa naomba walaaniwe na Mungu awapige pigo takatifu,

Lakini kama ni kweli watuhumiwa wamehusika basi wachukuliwe hatua kali za kisheria
 
Hii kitu inaenda kumtafuna emma masonga, sijui ni kwa nini amekuwa hivyo!
 
Isidingo....

Kada wa CCM alifuata nini kwenye gari la chadema? alikuwa na mahusiano gani na madiwani wote hao wa chadema kipindi hiki cha kampeni?
 
[emoji16][emoji16][emoji16] ila polisi daah eti Mkanda!
Walimvua labda wakautmia kumnyonga nao unashangaa nini ? Ni ushahidi muhimu sababu lazima finger prints za washukiwa zitakuwa kwenye mkanda.Unaudharau?
 
Duh hilo ndilo geshi letu...yaani siku zoote wanafikiria kuwa I.Q za watanzania woote zinafanana na za kwao (Std Seven looser)..Nendeni Motuary chukueni mkanda wa mrehemu arafu turetee sisi tutajua ra kufanya au chukua madawa ya kurevyaa muweke nyumbani kwake arafu tutarifunguria kesi ya madawa rimekwishaaa rire...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…