Njombe: Viongozi wa CHADEMA pamoja na dalali wa mbao wakamatwa kwa kuhusishwa na mauaji ya Kada wa CCM Emmanuel Mlelwa

Mkanda wa marehemu kwenye gari ya mgombea udiwani wa Chadema!! Ebu Polisi kuweni serious basi msilete isidingo kama ya watekaji wa Mo, kumbukeni Rais aliwaambia watanzania sio wajinga.
Hata mimi, mwanaCCM kindakindaki, japo sijaelewa vizuri.

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Kama kuna watu wanaagiza kubambikia kesi za uongo wenzao kwa matakwa ya kisiasa naomba walaaniwe na Mungu awapige pigo takatifu,

Lakini kama ni kweli watuhumiwa wamehusika basi wachukuliwe hatua kali za kisheria
Lakini inaelezwa kuwa mmoja wao amekiri na kueleza tukio zima. Ushahidi wa kimazingira unaonesha mtu wa mwisho kuongea na marehemu ni mtuhumiwa pia. Sauti itaeleza waliongea nini.

Unadhani huyo dalali amekamatwa kwa makosa?

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Mkanda wa marehemu kwenye gari ya mgombea udiwani wa Chadema!! Ebu Polisi kuweni serious basi msilete isidingo kama ya watekaji wa Mo, kumbukeni Rais aliwaambia watanzania sio wajinga.
Hakika hii ni isindingo! Mtu auawe tarehe 20/9 na mkanda ubaki ndani ya gari hadi tarehe 28/9?

Lazima kuna namna!
 
Alifahamika, alikuwa Mbowe. Umewahi kusikia anakanusha?

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Majani ya Malawi si ya mchezo. Ulianza kuvuta lini mkuu?

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Huo ni uwongo wa CCM, Mtu mwenye akili timamu anajua huo ni uongo mtupu.
 
Taarifa ya Jeshi la Polisi imekaa kienyeji sana. Kuna uwezekano mkubwa huyu kijana ameuawa na greenguards. Kwa analysis ifuatayo:

1) Marehemu alikuwa mwanatimu ya kampeni ya CCM

2) Watu aliokuwa akiwasiliana nao ni makamanda wa CHADEMA - alikuwa anaongea nao nini?

3) Kama Polisi ambao wanatumika na CCM wanasema waliweza kunasa mazungumzo ya marehemu na makada wa CHADEMA, ina maana wanajua marehemu alikuwa na uhusiano gani na hap viongozi wa CHADEMA

Maswali:

1) Je, haiwezekani kuwa greenguards walikuwa wanamwona marehemu amewageuka, na labda pengine kuridhika kuwa alikuwa jasusi wa CHADEMA?

2) Kama marehemu alihisiwa kuwa amewasaliti wenzake wa CCM, hakuna uwezekano kijana huyu ameuawa na greenguards kwa kpsa la usaliti

HISTORIA

1) CHADEMA haijawahi kuwa na historia ya kuua, kuteka au kwapoteza watu

2) Greenguards imesheheni vijana wauaji na katili. Uchaguzi wa 2010, mwenyekiti wa CHADEMA Arusha, aliuawa na greenguards kwa kukatwa shingo kwa kutumia chainsew

3) Mwaka 2010, greenguards walimwua kwa kumkata mapanga marehemu Mawazo Geita, aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa

4) Kama sikosei, mwaka 2016, greenguards walimwua kwa kumkata mapanga diwani kupitia CHADEMA huko Morogoro

5) Greenguards walimjeruhi vibaya kwa mapanga mbunge Haines kupitia CHADEMA huku polisi wakiwa pembeni wamesimama kuwapa ulinzi greenguards wanapomshambulia Hyness.

Na mara zote, ukiona kiongozi wa CHADEMA au mpenzi wa CHADEMA ameuawa, halafu hakuna mtu yeyote aliyekamatwa wala kutuhumiwa, ujue mauaji hayo yamefanywa na greenguards au na wasiojulikana.

Hakuna polisi mwenye uwezo wa kumkamata greenguard au asiyejulikana.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiongozi mkubwa wa ccm aliyetaka kumuua Tundu Lissu amekamatwa?

Mara nyingi Tundu Lissu amemtaja bayana muuaji yule kwa kuonyesha ushiriki wake mwanzo mwisho lkn polisi wako kimya....

Je yuko juu ya sheria?
Tuweke jina alilotaja.
Halafu anaongea na vyombo vya habari, kwanini asiende polisi?

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Polepole alitoa agizo kwa Sirro juzi. Na kasema mauaji yametekelezwa na "chama cha Mbowe". Kamanda katekeleza kama alivyoagizwa! Nchi imejaa unafiki sana.
Ninafurahi kwamba kumbe watu wanafuatilia na kuelewa kila njama zenye nia ovu zinazofanywa kwa hila. Mtu eliyemsikiliza polepole juzi atagundua kabisa kwamba kuna jambo lilikuwa linapangwa na sasa kweli limetimia. Hizi damu zinazomwagika kwa njia hizi siyo dalili nzuri.
 
Mwambie Masonga ajiandae kisaikolojia kwa sababu ndiye mchora ramani.
Tunafahamu si leo wala juzi kwamba Masonga anasakwa ili Mhujumu uchumi Deo Mwanyika ambaye hatakiwi Njombe apitishwe kwa nguvu , lakini damu itamwagika kwenye hili mkitaka kulazimisha
 
Hata Deo akishinda, nadhani ushindi wake utatenguliwa mahakamani kirahisi kwa sababu hana sifa ya kugombea ubunge in the first place.
Tunafahamu si leo wala juzi kwamba Masonga anasakwa ili Mhujumu uchumi Deo Mwanyika ambaye hatakiwi Njombe apitishwe kwa nguvu , lakini damu itamwagika kwenye hili mkitaka kulazimisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…