Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,417
- 5,579
Siku makali yakiisha anaanza nyodo sio za nchi hii π !!! Wanawake wenye njaa ogopa sana yani huwaga wepesi sana kujisahau endapo hali ikiwa shwari tena usijiroge ukampa pa kushika hela au ukamtaftia mchongo atakovyabadilika ghafla hutaamini πππKuna mmoja alikuwa ananipanga ahamie kwangu [emoji28][emoji28]
Kila siku akawa anajisemesha "maisha magumu sana wengine tuolewage tu "..
Nikamzoom nikaona hamna kitu hapa, imagine mtu anakuja kwako kupunguza makali ya maisha.
Hahaha tofauti yao ni ndogo sana, hawa wa kijijini wanafosi sogea tuishi wakati wa Dar wao wanafosi kudanga πππWenzao wa Dar wanadanga
Ha ha ndo hivyo.. wanakuwa wapole sababu ya njaa!Siku makali yakiisha anaanza nyodo sio za nchi hii [emoji28]!!! Wanawake wenye njaa ogopa sana yani huwaga wepesi sana kujisahau endapo hali ikiwa shwari tena usijiroge ukampa pa kushika hela au ukamtaftia mchongo atakovyabadilika ghafla hutaamini [emoji23][emoji23][emoji23]
Yeah sema uzuri hawana ujanja wa kutafuta so ukimbania sources anatulia tuli kabisa! They make good wives ila usimpe channel ya hela tu mtakaa kwa amani sana!Ha ha ndo hivyo.. wanakuwa wapole sababu ya njaa!
Kwamba lengo la kuolewa siku hizi limekuwa kupunguza ukali wa maisha?Kwahio kuolewa ni kuongeza tatizo[emoji28]? Wakati unalishwa bure wewe na wanao hadi mfe?
Kwa hali ilivyo sasa bora hao wamewahi nafasi mapema! Nyio mnaochelewa hali ya Solidarity Funds inavyoelekea mbele huko mtakuja kuwalegezea viuno walamba lips π π π japo wawahifadhi tuKwamba lengo la kuolewa siku hizi limekuwa kupunguza ukali wa maisha?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787]Kwa hali ilivyo sasa bora hao wamewahi nafasi mapema!
Ndio ulivyoongopewa hivyo, kwani ukiolewa kazi haziaplayiki au?[emoji1787]
Wacha wawahi tu,tutawakuta.
Mimi siwezi kuongeza tatizo juu ya tatizo,,nitaendelea kuisikia ndoa hadi nitakapopata kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Afrika tumekuwa na maneno mengi kuliko vitendo, porojo kuanzia kwa wasomi aka wataalamu mpaka wanasiasa.suala la mtaala hakuna umakini kwani kuna baadhi ya taasisi zinafanya maboresho lakini bado hakuna mabadilikoWANAWAKE waliohitimu vyuo vikuu nchini wamesema wanalazimika kuingia kwenye ndoa ili kujikwamua na ugumu wa maisha wanapofika mtaani baada ya kukosekana kwa ajira licha ya kuwa na elimu ya juu.
Hayo yamebainishwa na baadhi ya wadau mjini Njombe wakati wakitoa maoni yao juu ya mwenendo wa elimu ya Tanzania huku wakitoa wito kwa wanafunzi waliochaguliwa kwenda kujiunga na vyuo vikuu kuchagua fani zitakazoweza kuwapa nafasi za kujiajiri mtaani pindi wanapokosa ajira.
Tofana Pascali ni mmoja wa wanawake wasomi aaliyesoma maendeleo ya jamii anasema wanawake wasomi baada ya kumaliza vyuo vikuu wanalazimika kuishi na wanaume watafutaje watakaowawezesha kupata chochote katika maisha yao.
βMwanaume atahangaika ataleta chochote kile nyumbani tule tulale ili maisha yaende kwasabau hata wazazi mtaani wamechoka kuombwa ndio maana tumeona ni bora tujiegeshe kwa wanaume hata kama hawajaonekana na mwisho wa siku wanatokea hata watoto wa mtaaniβalisema Tofana
Emmanuel Ngelime na Johnson Mgimba ni miongoni mwa wadau wa elimu wanatoa wito kwa wanafunzi kuwa na machaguo sahihi wanapokwenda vyuoni ili wafanikiwe kuwa na shughuli za kufanya mtaani.
βWasomi wengi sana wako mtaani kwa kukosa ajira,ninaomba wanafunzi wawe makini na hizi taaluma wanazozichagua lakini pia serikali iongeze nguvu kwenye vyuo vya maendeleo na VETA ili tuweze kupata wataalamu zaidiβalisema Ngelime
Naye Mgimba amesema βTunaiomba serikali kwasababu ya changamoto hii ya ajira basi yale masomo ambayo tunajua motto akimaliza anweza kujiajiri basi wajaribu kuyapa kipaumbele kwenye swala la mkopo ili watoto wahamasike waweze kwenda kwenye yale masomo ili akimaliza na akakosa ajira basi aweze kujiajiriβalisema Mgimba.
Alatanga nyagawa ni mhadhiri wa chuo cha Amani mjini Njombe ameiomba serikali kubadili mtaala wa elimu ili wanafunzi waweze kusoma masomo yatakayoendana na mazingira ya Tanzania na kujiajiri.
βTunakwenda na masomo ambayo yanahitaji ukimaliza utembee na bahasha uombe ajira kwenye ofisi ya mtu,nadhani tuna changamoto kubwa kwenye silabasi zetu. Jambo hili tunahitaji kuliangalia upya ili tuhame na kwenda kwenye uhalisia wa maisha yetuβalisema Alatanga Nyagawa.
πKwa hali ilivyo sasa bora hao wamewahi nafasi mapema! Nyio mnaochelewa hali ya Solidarity Funds inavyoelekea mbele huko mtakuja kuwalegezea viuno walamba lips π π π japo wawahifadhi tu
Si matozi wasiojua kutafta hata sh.100 wao wapewe hela wakanunue midosho kariakoo na yebo yebo na micheni feki kama ya Kondeboy shingoniπ
Hao walamba lips ndio wakoje?
ππππSi matozi wasiojua kutafta hata sh.100 wao wapewe hela wakanunue midosho kariakoo na yebo yebo na micheni feki kama ya Kondeboy shingoni
Unamlea tu mumeo si wazenj mmefundishwa kulea waume vizurππππ
Kuolewa na huyo ni kunywa hasara.
Nilee watoto nayeye nimlee?Unamlea tu mumeo si wazenj mmefundishwa kulea waume vizur
Mnasaidiana kulea πNilee watoto nayeye nimlee?
Kazi yake ni kukata mauno tu?π
Huo msalaba sasa.
Dah!Mnasaidiana kulea π
Kweli kabisa.nchi inahitaji mabadiliko ya fikra.
umaskini wa nchi hii unatoka kizazi kimoja mpaka kingine kwa sababu tuliaminishwa huko nyuma kwamba ukisoma lazima uajiriwe,kilimo watu hawataki kwa sababu wakulima wanaonekana ni watu maskini na bei ya mbolea inapanda kila siku DAP iliyokuwa inauzwa 52,000/ imepanda mpaka 92,000/=
tubadilike kunusuru vizazi vijavyo.