Njombe: Wahitimu wa vyuo walazimika kuolewa ili kuepuka ugumu wa maisha

Kuna mmoja alikuwa ananipanga ahamie kwangu [emoji28][emoji28]
Kila siku akawa anajisemesha "maisha magumu sana wengine tuolewage tu "..
Nikamzoom nikaona hamna kitu hapa, imagine mtu anakuja kwako kupunguza makali ya maisha.
Siku makali yakiisha anaanza nyodo sio za nchi hii πŸ˜…!!! Wanawake wenye njaa ogopa sana yani huwaga wepesi sana kujisahau endapo hali ikiwa shwari tena usijiroge ukampa pa kushika hela au ukamtaftia mchongo atakovyabadilika ghafla hutaamini πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ha ha ndo hivyo.. wanakuwa wapole sababu ya njaa!
 
Afrika tumekuwa na maneno mengi kuliko vitendo, porojo kuanzia kwa wasomi aka wataalamu mpaka wanasiasa.suala la mtaala hakuna umakini kwani kuna baadhi ya taasisi zinafanya maboresho lakini bado hakuna mabadiliko
 
Kwa hali ilivyo sasa bora hao wamewahi nafasi mapema! Nyio mnaochelewa hali ya Solidarity Funds inavyoelekea mbele huko mtakuja kuwalegezea viuno walamba lips πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… japo wawahifadhi tu
πŸ˜€
Hao walamba lips ndio wakoje?
 
nchi inahitaji mabadiliko ya fikra.

umaskini wa nchi hii unatoka kizazi kimoja mpaka kingine kwa sababu tuliaminishwa huko nyuma kwamba ukisoma lazima uajiriwe,kilimo watu hawataki kwa sababu wakulima wanaonekana ni watu maskini na bei ya mbolea inapanda kila siku DAP iliyokuwa inauzwa 52,000/ imepanda mpaka 92,000/=

tubadilike kunusuru vizazi vijavyo.
 
Kweli kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…