Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,265
- 4,735
Ajira watapata wapiKwahio wakipata ajira hizi ndoa zinaweza kuvunjika kwasababu hawajaolewa kwa kupenda! Ndio maana talaka nyingi kizazi hiki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ajira watapata wapiKwahio wakipata ajira hizi ndoa zinaweza kuvunjika kwasababu hawajaolewa kwa kupenda! Ndio maana talaka nyingi kizazi hiki.
Kama nikiolewa basi si kwa lengo la kupunguza ugumu wa maisha.Ndio ulivyoongopewa hivyo, kwani ukiolewa kazi haziaplayiki au?
Teh teh nyie watuKwahio kuolewa ni kuongeza tatizo😅? Wakati unalishwa bure wewe na wanao hadi mfe?
Karibu nikuwoweKama nikiolewa basi si kwa lengo la kupunguza ugumu wa maisha.
Sina ajira rasmi,lakini pia sina maisha magumu.
Yaani nimecheka Sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanaolewa kupunguza ugumu wa maisha,mbona wanaenda kujiongezea matatizo[emoji1787].
Sent using Jamii Forums mobile app
Okay tunakusubiri kwa haamu upate hio kazi[emoji23][emoji1787]
Wacha wawahi tu,tutawakuta.
Mimi siwezi kuongeza tatizo juu ya tatizo,,nitaendelea kuisikia ndoa hadi nitakapopata kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sina mpango wa kuolewa kabla sijapata hela[emoji23]Karibu nikuwowe
Kabisa yaani[emoji1787]Okay tunakusubiri kwa haamu upate hio kazi[emoji23]
Unareta utata eeh mwanamke mzuri kama wewe unakataa kuolewa jamani unataka wahuni wakuchezeage tu mwe
Kwan vina mda basi! 2030 Tutakutana Love Connect kule 😅😅😅 akiwa kabadili IDOkay tunakusubiri kwa haamu upate hio kazi[emoji23]
Anachomaanisha wahitimu wa vyuo wanaolewa bila kupenda kupunguza ugumu wa maisha hata kama moyo haujaridhia kuolewa na huyo mtuHata kama ajira hakuna, maisha lazima yaendelee. huwezi kusema nitaolewa nikipata ajira wakati hujui ajira utapata lini.
Hapana,nimetulia sichezewi[emoji23][emoji23][emoji23]Unareta utata eeh mwanamke mzuri kama wewe unakataa kuolewa jamani unataka wahuni wakuchezeage tu mwe
Nitarudi na I'd yangu hii hii.Kwan vina mda basi! 2030 Tutakutana Love Connect kule [emoji28][emoji28][emoji28] akiwa kabadili ID
Unatafta hela wapi namie nije tutafte wote muremboHapana,nimetulia sichezewi[emoji23][emoji23][emoji23]
Nipo busy kutafuta hela
Sent using Jamii Forums mobile app
Aah wapi hamuwezagi kabisa
Nipo nauza maji hapa town.Unatafta hela wapi namie nije tutafte wote murembo
KabisaDaaa kumbe nikikaza kidogo naweza jitwalia 'graduate'
Siwezi ikimbia id yangu.Aah wapi hamuwezagi kabisa
Kwahio kuolewa dhambi tena ebu achaga basi masikhara yako weweSiwezi ikimbia id yangu.
Halafu kama Mungu amepanga iwe itakuwa tu,kama haikupangwa basi haikupangwa tu.
Hao wanaoolewa kupunguza ukali wa maisha wanatenda dhambi,ndoa siyo kichaka Cha kutafuta unafuu wa maisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuolewa siyo dhambi..ila kuolewa kwa malengo ya unafuu wa maisha pasi na upendo ndiyo dhambi.Kwahio kuolewa dhambi tena ebu achaga basi masikhara yako wewe
Sawa ila sasa mie nataka nikuwowe uwe mama watoto sasa mbona kama itakuwa vizuri ntakupaga kaduka uuzegeKuolewa siyo dhambi..ila kuolewa kwa malengo ya unafuu wa maisha pasi na upendo ndiyo dhambi.
Sent using Jamii Forums mobile app