Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 4,503
- 6,861
Kipi nilichokosea ktk maelezo yangu?
DADA: Dada Alikuwa anakwenda kwao kijijini, imefika jioni hana nauli,Watu wawili wamepoteza maisha mkoani Njombe baada ya kuingia na jiko la mkaa ndani ya chumba cha kulala kwa lengo la kupunguza baridi Mkoani Njombe.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Njombe Hamisi Issa amethibitisha kutokea kwa tukio hilo lililowakuta Benitho Mbatha (23) mpiga debe wa mjini Njombe na Jazila Said Mndendeule (27) mkazi wa Namtumbo.
Aidha amesema “Sababu ya kifo chao inaonyesha wakati wakiwa hai waliweka moto wa mkaa kwa ajili ya kujihifadhi na baridi na huu mtindo wa kuweka mkaa kwa watu wa Njombe ndio mtindo wao”alisema Kamanda wa Polisi Hamis Issa.
Elimu ya katibaa watu wamektaa na hawasikilizi, elimu ya covid hawataki, unategemea nin, labda wampe DIAMOND PLATINUMZ ndio watamsikiliziza.Kuna haja ya elimu kutolewa watu wajue hatari ya kuweka jiko la mkaa kwenye chumba chenye hewa hafifu.
si walikuwa washafanya sex? ina mana hawakupata joto?Rip huko naskioa ni - 10°c
Tena kali!Dar kuna baridi?
Hata kama hewa ni nyingi usiweke,itakuwa kama kuonja sumu.Kuna haja ya elimu kutolewa watu wajue hatari ya kuweka jiko la mkaa kwenye chumba chenye hewa hafifu.
Jinga weweDADA: Dada Alikuwa anakwenda kwao kijijini, imefika jioni hana nauli,
Mpiga debe: Twende kwangu kesho nitakuombea kwa dereva wangu>
DADa: Sawa lakini usinitie.
Mpiga debe: Sitakutia.
Dada:sawa twende.
Walipofika nyumbani, dada akatangulia kuoga bafu la ne, si unajua nyumba za kupanga wapiga debe, chumba ch elf 15 kwa mwezi.
alipotoka kuoga kaka akampisha na yeye akaenda kuoga, wakaenda kula chips , wakarudi , WAKALA TUNDA LA MTI WA KATI , NA KA UBARIDI MPAKA MAJIRANI WALIKUWA WANASIKIA MIGUNO baadae wakaachina wakaenda kujifuta na wakawasha jiko ili saa 11 alfajiri wapeane MORNING GLORY-CHA ASUBUHI Mungu akawapenda zaidi, maana mkaa ni CARBON MONOXIDE , haufai kabisa, na unakufa taratiibu bila hata kutapa tapa.
Sasa mambo ya kama walitubu ama la mimi sijui.
Dada wa watu kwakwama nauli alikuwa na safari zake jamaa kaopoa wameelewana demu akalale kwa jamaa hadi kesho yake ndio jamaa ampe nauli demu kakubali jamaa kawasha mkali ili apashe apate nguvu ya kupasua mashine ndio umauti umewakuta.Watu wawili wamepoteza maisha mkoani Njombe baada ya kuingia na jiko la mkaa ndani ya chumba cha kulala kwa lengo la kupunguza baridi Mkoani Njombe.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Njombe Hamisi Issa amethibitisha kutokea kwa tukio hilo lililowakuta Benitho Mbatha (23) mpiga debe wa mjini Njombe na Jazila Said Mndendeule (27) mkazi wa Namtumbo.
Aidha amesema “Sababu ya kifo chao inaonyesha wakati wakiwa hai waliweka moto wa mkaa kwa ajili ya kujihifadhi na baridi na huu mtindo wa kuweka mkaa kwa watu wa Njombe ndio mtindo wao”alisema Kamanda wa Polisi Hamis Issa.
Lakini kinachosababisha carbonmonoxide itengenezwe ni kiwango kidogo cha oxygen chumbani na kwakuwa CO ina high affinity to Hb inazuia oxygen kubind na Hb na ndipo shida inaanzia hapo. Ukilala na jiko la mkaa ndani lkn kuwepo hewa ya kutosha ndani CO haiwezi kutengenezwa.Hata kama hewa ni nyingi usiweke,itakuwa kama kuonja sumu.
Ushaambiwa wamelala na jiko la mkaa ndani! Kama ulikimbia pindi la kemia ukakimbilia kwa madem zako Art burudani huwezi elewa nini kimewakuta hawa watu!watanzania mna matatizo sana ( in mwigulu tone) yaani mnakimbilia kusema kusema CO ndiyo ili wamaliza na hali hakuna uchunguzi wowote wa kitalaam, mna uhakika gani kama hawajanyongwa, hawajapewa sumu, shoti za umeme, Viagra, vipondo?? ebu waacheni madaktari na wapelelezi wafanye kazi yao ebu achene kudandia treni kwa mbele eboooo!......