Niache Nteseke
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 2,162
- 2,616
Hivi hakuna wasambazaji wa room heater zinazotumia umeme, au tatizo itakuwa kwenye bili.....mimi nina heater ya kupasha chumba joto niliyotoka nayo majuu lakini baridi la Dar halijanishawishi kutumia heater zaidi ya kulala na blanket......serikali toeni ruzuku kwenye heater ziuzwe maeneo yenye baridi kali na pia wapunguziwe bili za umeme ili waweze kumudu.
Mkuu tufanye biashara basi kama huitumii.