Njombe: Wapenzi wafariki wakiwa wamelala chumbani na jiko la mkaa

Njombe: Wapenzi wafariki wakiwa wamelala chumbani na jiko la mkaa

Hivi hakuna wasambazaji wa room heater zinazotumia umeme, au tatizo itakuwa kwenye bili.....mimi nina heater ya kupasha chumba joto niliyotoka nayo majuu lakini baridi la Dar halijanishawishi kutumia heater zaidi ya kulala na blanket......serikali toeni ruzuku kwenye heater ziuzwe maeneo yenye baridi kali na pia wapunguziwe bili za umeme ili waweze kumudu.

Mkuu tufanye biashara basi kama huitumii.
 
Kuna bwege mmja huko camp masange tanga juu mlimani ndy tabia yake kulala na jiko lenye kuni
Namwambiaga iko siku utakaukiaa ndani

Ova
 
Ni sahihi kiongozi, ina watt ngapi mkuu...?
Nitacheki ratings zake, ingawa ni zile zinazoitwa economical au energy efficient na ni digital version ambayo unaweza kufanya setting ya temperature, time na inaweza kuzunguka kama feni na inatumia remote........ukikawasha usiku mzima bado katatafuna umeme wa kutosha.​
 
Nitacheki ratings zake, ingawa ni zile zinazoitwa economical au energy efficient na ni digital version ambayo unaweza kufanya setting ya temperature, time na inaweza kuzunguka kama feni na inatumia remote........ukikawasha usiku mzima bado katatafuna umeme wa kutosha.​

Ooooh owkay itakuwa na watts nyingi basi.
 
Back
Top Bottom