Njombe: Wapenzi wafariki wakiwa wamelala chumbani na jiko la mkaa

Njombe: Wapenzi wafariki wakiwa wamelala chumbani na jiko la mkaa

Lakini kinachosababisha carbonmonoxide itengenezwe ni kiwango kidogo cha oxygen chumbani na kwakuwa CO ina high affinity to Hb inazuia oxygen kubind na Hb na ndipo shida inaanzia hapo. Ukilala na jiko la mkaa ndani lkn kuwepo hewa ya kutosha ndani CO haiwezi kutengenezwa.
Sasa utajuaje kuwa kiwango hiki cha oxygen kinatosha kuzuia CO kuleta athari?Unapima vipi hiyo oxygen kujua kiwango hiki kinatosha?Huoni kuwa utakuwa unabeti maisha yako?
 
Ushaambiwa wamelala na jiko la mkaa ndani! Kama ulikimbia pindi la kemia ukakimbilia kwa madem zako Art burudani huwezi elewa nini kimewakuta hawa watu!
ni mara ngapi tunalala na majiko ya mkaa adi asubuhi lakini hatufi?? maeneo mengi ya yenye baridi kali kuna nyumba nyingi tuu zina 'chimney / smokestacks', hivi ni vi chamber ambavyo huwa tunachoma magogo na kuni ili kupata joto ndani ya nyumba zetu lakini hatuja wahi sikia familia zime kufa, hatupaswi kuwa na majibu mepesi kwenye isuue zenye utata, uvivu tuu na shortcuts kwa wapelelezi wetu ndiyo maana wana conclude bila kufanya upelelezi wowote….
 
ni mara ngapi tunalala na majiko ya mkaa adi asubuhi lakini hatufi?? maeneo mengi ya yenye baridi kali kuna nyumba nyingi tuu zina 'chimney / smokestacks', hivi ni vi chamber ambavyo huwa tunachoma magogo na kuni ili kupata joto ndani ya nyumba zetu lakini hatuja wahi sikia familia zime kufa, hatupaswi kuwa na majibu mepesi kwenye isuue zenye utata, uvivu tuu na shortcuts kwa wapelelezi wetu ndiyo maana wana conclude bila kufanya upelelezi wowote….
Hio Chimney ina sehemu ya ku capture moshi huo!
 
Sasa utajuaje kuwa kiwango hiki cha oxygen kinatosha kuzuia CO kuleta athari?Unapima vipi hiyo oxygen kujua kiwango hiki kinatosha?Huoni kuwa utakuwa unabeti maisha yako?
Lakini ndio hivyo kinacho sababisha production ya CO ni inadequate supply of oxygen.
 
Lakini ndio hivyo kinacho sababisha production ya CO ni inadequate supply of oxygen.
Mimi kwenye hilo sijabisha na unachoongea ni fact ila kinachonipa shida ni kwamba nitapima vipi kujua chumba hiki kina oxygen ya kutosha ku-neutrilize CO ili nilale bila hofu na chumba kile hakina oxygen ya kutosha ili nikwepe kulala na jiko ndani.

Yaani nitajua vipi kuwa kwa ukubwa wa madirisha haya it is ok kulala na jiko ndani na kwa ukubwa wa madirisha yale hapana haifai kulala na jiko ndani?
 
Inasikitisha Sana wadau,yaani unakufa slow slow hivihivi baridi la Njombe sio mchezo wadau
Anyway
R.I.P
 
Mimi kwenye hilo sijabisha na unachoongea ni fact ila kinachonipa shida ni kwamba nitapima vipi kujua chumba hiki kina oxygen ya kutosha ku-neutrilize CO ili nilale bila hofu na chumba kile hakina oxygen ya kutosha ili nikwepe kulala na jiko ndani.

Yaani nitajua vipi kuwa kwa ukubwa wa madirisha haya it is ok kulala na jiko ndani na kwa ukubwa wa madirisha yale hapana haifai kulala na jiko ndani?
Basi suluhu ni hili.

Watu wanunue mablanketi makubwa wajifunike wajue tu kulala ndani na jiko la mkaa likiwaka ni hatari.
 
Basi suluhu ni hili.

Watu wanunue mablanketi makubwa wajifunike wajue tu kulala ndani na jiko la mkaa likiwaka ni hatari.
Mimi logic yangu ni kwamba haya mambo ya sayansi huwa yanahitaji accurate scientific measurements ili uweze kuchukua maamuzi sahihi.Tofauti na hapo ni unabeti maisha yako.
 
Kuna pahala kwenye biblia imesemwa watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
 
Mimi logic yangu ni kwamba haya mambo ya sayansi huwa yanahitaji accurate scientific measurements ili uweze kuchukua maamuzi sahihi.Tofauti na hapo ni unabeti maisha yako.
Kwahiyo kwenye situation kama hii unashauri nini?
 
ni mara ngapi tunalala na majiko ya mkaa adi asubuhi lakini hatufi?? maeneo mengi ya yenye baridi kali kuna nyumba nyingi tuu zina 'chimney / smokestacks', hivi ni vi chamber ambavyo huwa tunachoma magogo na kuni ili kupata joto ndani ya nyumba zetu lakini hatuja wahi sikia familia zime kufa, hatupaswi kuwa na majibu mepesi kwenye isuue zenye utata, uvivu tuu na shortcuts kwa wapelelezi wetu ndiyo maana wana conclude bila kufanya upelelezi wowote….
We nae emu tutokee hapa hamna alikukataza kwenda shule,hapa cha muhimu uliza kwamba inakuwaje wengine wanalala na majiko ndani lakini hawafi?
 
Kamwe usilale na jiko la mkaa ndani hata kama chumba chako kina madirisha makubwa kiasi gani kwa sababu hujui kama oxygen inayoingia kwenye chumba chako inatosha kuzuia jiko lako lisizalishe hewa ya CO
Sawa mzee wa chura umesomeka.
 
Hata wale wanaotaka kujiua watumie hii njia, ni njia rafiki unakufa usingizini
😀😀😀
 
Mkiwa watatu-wanne chumba kimoja mna generate heat wenyewe
 
Hii ilitokea sana miaka ya 70, 80 na iliwahusu zaidi wageni kutoka mikoa mingine
 
Mkiwa watatu-wanne chumba kimoja mna generate heat wenyewe
Kwa nchi ile hata mkiwa 20 haiwezekani, nilishuhudia hiyo misibani kundi la watu wanalala chumba kimoja lakini mnaamka wafiwa 0 baridi 1
 
Back
Top Bottom