NJOMBE: Watu wanne wajeruhiwa baada ya simu kulipuka ndani ya Bajaji, Julai 24, 2022

NJOMBE: Watu wanne wajeruhiwa baada ya simu kulipuka ndani ya Bajaji, Julai 24, 2022

simu yoyote inalipuka kulingana na matumizi na ufundi tunaunga unga sana mafundi hatuna ujuzi wa hizi simu
 
Hiyo simu ilikuwa ni iPhone 7 kama sijakosea kuiona kwenye video clip. Wa kushitakiwa kama yupo ni kampuni iliyotengeneza hapo, ila ukisoma agreement makampuni ya simu mengi hufunguliwa mashtaka kupitia mahakama za sehemu fulani tu

Sio kampun ni betry imebadilishwa so iPhone 7 long time sana jaman
 
Kama iliwahi funguliwa na fundi ambaye sio authorized basi wanachomokea hapo
Huwezi washinda maana gharama zenyewe za kwenda sijui California huna, wala mawakili wa kuaminika huna. Wanakukaba pale kwenye simu kufunguliwa na third party na vile hizi simu ni "used from Dubai" zinakuwa zimechokonolewa. Huwapati
 
Back
Top Bottom