Njombe: Wawili wauawa na mganga wa kienyeji na kutupwa msituni

 
Wangesogea kule Makete kwa Mwakipande au kwa Meseketwa kupata utajiri.. Wao wameishia Njombe tu .
 
Haya mauaji yasiyo na mantiki yalikuwepo tangu enzi za Mwinyi na Nyerere.

Kinachofanyika sasa ni kuhakikisha hata ikitokea mtu akameza sisimizi akafa inatangazwa na anatafutwa mtuhumiwa aliyemtuma sisimizi.

Urais una mazonge aisee
 
Huyo mganga ni mpumbavu alishindwa vipi kucheza na akili za wateja zake, angewambia mmekosea masharti.
 
Kuna member humu alipost uzi wake wa kuutaka utajiri,
Ameiona hiii

Ova
mrangi duniani kuna mambo. Kuna siku nilifanya utani nikaandika hapa kuwa anayetaka utajiri aniambie nimtajie mganga. Huwezi kuamini, nilipata private meseji nyingi, watu wakiomba niliwaambie alipo huyo mganga na wapo tayari kwa lolote. Kwa namna hii imani za kishirikina hazitaisha. Kuna watu wengi sana wanadhani mafanikio hupatikana na wanganga na siyo kwa kufanya kazi.
 
Hahaha

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…