Njoo mfahamu Mwifwa, kama humfahamu.

Huo upaja hatari tupu! [emoji39][emoji39][emoji39]hebu uweke vizuri tuufaidi japo kwa macho tu [emoji12][emoji12][emoji12]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Siku ile ukanialika kwenye birthday niliogopa kuja maana kwa sura hii ningeambiwa [emoji725], nikaamua kutokuja kuaibika

🙂

Ungekutana na visura tunda kibao... na ungekutana na wale mademu unaowaonaga kweye Tv ukishia kuwatolea macho...


Cc: mahondaw
 
Ngoja na mm nieke ile yangu enzi zile nakojoaga kitandani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ngoja nivute picha kwanza hapa mbibi...
 
Mimi Nina waves Kali sana za Ku link. Sijui kwa nini nilikuwa nahisi Mwifwa na Baba Swalehe ni watu wanaofahamiana.
Huwa nawakubali sana nyie machizi wangu, you are so natural, real and intelligent, smart and cool
Eti Baba Swalehe, ni kweli? au ni bond za BAM tu hizi

NB:Mengine akina nanilii cycle usitaje tutaaibishana[emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji28] [emoji28] [emoji28] Mkuu hayo masikio ni ya ushirika au !!!

Huyo dogo ni mrefu inaonekana ila wewe ni mfupi mnene mweusi, mwenye macho mekundu na midomo mikavu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Jinga wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…