Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
-
- #101
Atahamia kwa Gwajima atajidai alikuwa dini ya wasiokula mdudu sasa ameokoka ndugu wamemtenga hana pa kula wala pa kulala duka lake lenye mali ya million 65 Kariakoo nalo limechomwa moto na majinimmmh lakini hata aje na style gani assist ndio basi tena
Nadhani jina mpododo litamfaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Atakayetapeliwa sasa sijui tutamuweka kundi gani!
Nakosa hata jina la kumpa!
Hahahahahahahahah
Atahamia kwa Gwajima atajidai alikuwa dini ya wasiokula mdudu sasa ameokoka ndugu wamemtenga hana pa kula wala pa kulala duka lake lenye mali ya million 65 Kariakoo nalo limechomwa moto na majini
[emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22]Habari ndio hiyo, nina fungu kutoka kwa nchi hisani kwa ajili ya kuwa assist wana JF ambao mishahara haijatoka na wanahitaji 20k to 30k.
Karibuni sana
Ni assist na mim basi,ila unipe tuNini Gea?
Ni assist na mim basi,ila unipe tu
Anaishi Mongo landegeUnaishi wapi? Gongolamboto? 😀😀
Hakuna siku nimepandwa na hasira kama ile siku wamefunga nyuzi zile halafu wana ruhusu ya yule tapeli ajiteteee baada ya kukaa kimya muda mrefu.....Ila akirudi na utetezi wake itabidi Mods wazirudishe zile nyuzi.
Haiwezekani iwe kesi ya kusikiliza upande wa utetezi pekee.
Hahaha Ruta bana...sasa kwa nini unampa ideas?Hakuna siku nimepandwa na hasira kama ile siku wamefunga nyuzi zile halafu wana ruhusu ya yule tapeli ajiteteee baada ya kukaa kimya muda mrefu.....
Trust me Ray atarudi baada ya mwezi kujitetea na atasema kuna mtu alihack account yake akawa anaomba assist nayeye alipokuwa hakuwa na access ya mtandao hivyo amestushwa sana na hizo taarifa za yeye kuwa tapeli na anaomba radhi kwa yaliyotokea.....watu wataingia mkenge kama ambavyo wameingia mkenge kwa kelvin Isaya
Jamaa kananiambia anatoka Oslo to Dar nimuongeze hela ili tukutane Amsterdam tuunge Bongo ! Kisa ameona nachangia thread from Stockholm asee nilimuambia hapana mkuu sifanyi hivyo ! Watu humu unaweza kuta wale mahooligans wa kibiti wapo humu. Be careful with jf[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Atakayetapeliwa sasa sijui tutamuweka kundi gani!
Nakosa hata jina la kumpa!
Mi mazoea ya kitoto hayo siwezi kukaribisha ndio maana mpaka leo sijawahi kutapeliwa kwanza wataanzaje ? Alafu tumefundishwa kutokuamini mtu yeyote katika mazingira yoyote. Be careful .
Leo Nokia 83 umekwamaDah!
[emoji30] [emoji31] [emoji30] [emoji30] [emoji31] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Habari ndio hiyo, nina fungu kutoka kwa nchi hisani kwa ajili ya kuwa assist wana JF ambao mishahara haijatoka na wanahitaji 20k to 30k.
Karibuni sana
Nambie BebeNilikua busy kidogo mpendwa uje sasa nikuassist
Duuuuuh aiseee huyu jamaa kiboko.Jamaa kananiambia anatoka Oslo to Dar nimuongeze hela ili tukutane Amsterdam tuunge Bongo ! Kisa ameona nachangia thread from Stockholm asee nilimuambia hapana mkuu sifanyi hivyo ! Watu humu unaweza kuta wale mahooligans wa kibiti wapo humu. Be careful with jf
Huyu tapeli wa assist akirudi lazima tulale nae mbele kwa mbele.Hakuna siku nimepandwa na hasira kama ile siku wamefunga nyuzi zile halafu wana ruhusu ya yule tapeli ajiteteee baada ya kukaa kimya muda mrefu.....
Trust me Ray atarudi baada ya mwezi kujitetea na atasema kuna mtu alihack account yake akawa anaomba assist nayeye alipokuwa hakuwa na access ya mtandao hivyo amestushwa sana na hizo taarifa za yeye kuwa tapeli na anaomba radhi kwa yaliyotokea.....watu wataingia mkenge kama ambavyo wameingia mkenge kwa kelvin Isaya