Karibu Bungurere mhandisi Nyahucho.Mbona umeruka mkuu, ungeanzia
Rebu, Kenyamanyori, Mogabiri, Rosana, Kemakorere, Nyarero, Nyamwaga, Nyakunguru, Kwinogo, Kewanja, Nyangoto (hakuna kijiji kiitwacho Nyamongo), Kerende, Mrito baada ya hapo unaingia Mara/Serengeti
Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi hii hii au Rwanda?Kyaka Nkunde na Ikupilipa Nkoba Villages.
Unamjua Nyani Ngabu jirani yako?[emoji12] [emoji12]Ikungulybashashi
Mmh. Mbona sikufahamu huko?Tukuwoni......
Shule ya tanga mbele ya ruhila hiyo mlongo wangu ama sio?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni Welamasonga ya Kwimba yaani ipo pale pale jirani na Ngudu mjini, of course na Magu kuna Welamasonga piaWelamasonga ya kupita isangijo magu?
Au hata ukipita kisesa ukaenda kitumba unatimba welamasonga saafiiii....
Kulikuwaga na waharifu wakata mapanga wakati Fulani serikali ikafanya ufuatiliaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe umefika sehemu nyingi maana Magu upo na mpaka Lupembe...bila shaka Nyombo, Image na kibena kote unapajua
Mkuu nilinunua saana Zao LA Choroko huko
Duhhh!!!!Wamevumbua dhahabu hapo juzi pale barabarani kabisa karibu na tank la kuwasa njia ya ulowa hapo.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Ya Kwimba Mkuu
Hio[emoji1] kali[emoji2]Tupo wakina Katharina Wa Dar tunafupisha sie.
Sio Dareda ni Dar[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani osterbay inatamkika ?..nikajua wana-jf wote wamezaliwa Dar,tena ocean road na wanaishi masaki,obey na mbezi beach tu
kumbe ni mbwembwe tu...vijiji vingine hata havitamkiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah!!Na wewe umefika sehemu nyingi maana Magu upo na mpaka Lupembe...bila shaka Nyombo, Image na kibena kote unapajua
Ukenyenge ya kishapu bila shaka hiyo.....Hio[emoji1] kali[emoji2]
Kuna rafiki yangu aliulizwa umetoka wapi akasema UK
akimaanisha kijijini kwao UKENYENGE[emoji1]
Sent from Calculator Phone vesion007