Aisee kumbe humu unaweza kushangaa unataniana na shemeji yako kbs hahaha.Mmh, aisee! Hatari hii. Ngoja tu niishie hapo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee kumbe humu unaweza kushangaa unataniana na shemeji yako kbs hahaha.Mmh, aisee! Hatari hii. Ngoja tu niishie hapo!
Iko shinyangaHii lazima itakuwa Burundi wallah
Aisee kumbe humu unaweza kushangaa unataniana na shemeji yako kbs hahaha.
Aisee kumbe tupo wengi, mm pande za bugwandege natamana na shule ya msingi.Wewe!! Ibinzamata ya wapi? Bugayambelele, Bugwandege au
Mh km ulisoma buhangija shule ya msingi ntakuwa nakufahamu.bugayambelele
Yaan we acha tu, jirani na kurukerege.Majita moja
Loh!Kumbe ni majirani kabisa, ngoja niwakumbuke mamanzi wa pale mtaani.
Hahahahalol! kina robert kiatu
Mwakata weyaMbombi- mbimba village
Idiwili mtaa wa mbulamseje mnadani wilaya ya Mbozi mkoani Songwe
Hahahah labda ndio binti yake huyu.Kuna mwanjeshi pale Kizumbi alikuwa anaitwa Mbitiyaza!!
Aisee itakuwa nakufahamu.Malampaka
HahahahhaHa haa Kiatu angekuwa member ungepigwa ban ww. Una bahati siyo member. Huyu ibinzamata siyo kwao,alienda pale kusoma kwa kaka yake mjeshi mmoja hv. Nimesoma nae pale buhangija o-level. Yule amezaliwa na kukulia mpera.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jirani yangu kbs ww.Mimi nipo Buhangija kona
Njia ya kuelekea ushetu hahahah
Usihisi, ni uwongo kwelicjui tu! nahis urongo