yorkshire
JF-Expert Member
- Sep 9, 2016
- 2,525
- 3,139
bwiru,nyasaka=rock city while tengeru,usa rivver=a city moja hyoChuda, Sahare, Bwiru, Nyasaka, Mianzini, Tengeru, USA river, Shelui, Twabagondozi, Kanebwa, Isangijo, Kitumba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bwiru,nyasaka=rock city while tengeru,usa rivver=a city moja hyoChuda, Sahare, Bwiru, Nyasaka, Mianzini, Tengeru, USA river, Shelui, Twabagondozi, Kanebwa, Isangijo, Kitumba
Yap Mkuu ila home ni kadashi huko kwimba, senani kuna father mkubwa nilienda kumsabahi[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Kazi kweli kweli humu JF.
Ukiweka jina lako hadharani au details zako utajikuta hata watu 10000 wanakufahamu. Karibu sana hommie mkuu!
napafahsmu vzr snKitangili-Nzega!
Sent by Nokia E5 using Jamii Forums mobile app
Aisee kumbe nimtu wakwetu kabisa ginehe
hapa niliwahi kunywa chai nikiwa natokea mji wa geography ingawa sikupafurahia sn ila kule history ndo kumechangamka sana sanaBrentford village from England.
Siha moja mkuuKyungukyelwa
hawanipati hata kidogo wameuala wa chuya
Mkuu mtu akifanikiwa kusoma hivo vijiji vyako vyote kwa usahihi atajipata kesha jing'ata ndimi zake.Nyamakwenke, karibu na Nyalugusu, kama unatokea Nyaluyeye, kwenye kona ya Nyangarata...[emoji20] [emoji20] [emoji20]
Aisee kwa nani?Daahh
Mimi malampaka ndio home mkuu
Stendi, Japanese kona kuelekea mitaa ya kambarage hadi mwasele..Hahaaaa sio LUBAGA, CJUI NDALA, BUSHUSHU, BUHANGIJA, USHIRIKA, MSHIKAMANO....safi sana
Nilikaa miez mitatu nmeondoka mwez wa 8Nimegundua kumbe na wa shinyanga tuko wengi.
Shinyanga moja nimekulia Jimbo la Solwa
ya mufindi?Mpanga