Njoo Tuambiane Kijiji Chetu Tulichotoka

Njoo Tuambiane Kijiji Chetu Tulichotoka

Shinyanga moja nimekulia Jimbo la Solwa

Mkuu nimezunguka saana ktk hilo jimbo. Wakati wa kampeni na hivi gari yangu ndio ilikua imefungwa spika na dj natembea nae kwenye gari,Nyimbo za Komba zoote naziimba kichwani nimezihidhadhi zoote[emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom