N J subi
JF-Expert Member
- Nov 24, 2017
- 392
- 347
Meyadu ng'wanyahina bhagalu
[emoji23] [emoji23] me natokea maeneo ya boman na nimesoma apo meatu sec.iliyopo mwanyahina mpaka form four napafam kwa kina mzee sayi na kule chini kwa John Nungula
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Meyadu ng'wanyahina bhagalu
Majita musoma.majita tmk au?!!
Didia?Shinyanga moja nimekulia Jimbo la Solwa
Jana na leo, ila kwa kupita tukama kuna wa "choma cha nkola" anione ndo naita majina hvyo uitike useme jana na leo
K'plachasugu mwambaChatata mwanawasu
Ololoo ipi mimi ni wa Pangani chini ya kwa Tojo ila maskani siku zote ilikuwa ololoo nigger bronxCc: Kweupee
Kumbe nawewe wa Bronx ololoo??
Nyamle unapafahamu mkuu origin ya wazee wangu hukoNyamatala
Nyamakwenke, karibu na Nyalugusu, kama unatokea Nyaluyeye, kwenye kona ya Nyangarata...[emoji20] [emoji20] [emoji20]
Mimi niliishi sana pale Bronx center karibu na kwa kina Hussein Tumbo kama unamjua au Rama. Kwa sikuhizi nipo Ilboru master.Ololoo ipi mimi ni wa Pangani chini ya kwa Tojo ila maskani siku zote ilikuwa ololoo nigger bronx
Rama namfahamu! Ingawa wazee badae walihamia Levolosi ila kila nikija Chuga Ololoo siachi kwenda ingawa age mates zangu wengi unga na viroba vimewalostisha sana! Ila baadhi bado wako consciousMimi niliishi sana pale Bronx center karibu na kwa kina Hussein Tumbo kama unamjua au Rama. Kwa sikuhizi nipo Ilboru master.
Karibu Ndembezi na NgokoloNimegundua kumbe na wa shinyanga tuko wengi.
Kweli mkuu wengi sana wa ololoo wameshaharibika sana na baadhi wamekufa au kuuawa.Rama namfahamu! Ingawa wazee badae walihamia Levolosi ila kila nikija Chuga Ololoo siachi kwenda ingawa age mates zangu wengi unga na viroba vimewalostisha sana! Ila baadhi bado wako conscious
Ulimaliza mwaka gani mkuu meatu maana hats Mimi in product ya meatu[emoji23] [emoji23] me natokea maeneo ya boman na nimesoma apo meatu sec.iliyopo mwanyahina mpaka form four napafam kwa kina mzee sayi na kule chini kwa John Nungula
Ngokolo mitumbani ama??Karibu Ndembezi na Ngokolo
Jana na leo, ila kwa kupita tu
mi nikajua kr-mullah ndo tunamuongeleaMajita musoma.