Njoo Tuambiane Kijiji Chetu Tulichotoka

Njoo Tuambiane Kijiji Chetu Tulichotoka

Ololoo ipi mimi ni wa Pangani chini ya kwa Tojo ila maskani siku zote ilikuwa ololoo nigger bronx
Mimi niliishi sana pale Bronx center karibu na kwa kina Hussein Tumbo kama unamjua au Rama. Kwa sikuhizi nipo Ilboru master.
 
Mimi niliishi sana pale Bronx center karibu na kwa kina Hussein Tumbo kama unamjua au Rama. Kwa sikuhizi nipo Ilboru master.
Rama namfahamu! Ingawa wazee badae walihamia Levolosi ila kila nikija Chuga Ololoo siachi kwenda ingawa age mates zangu wengi unga na viroba vimewalostisha sana! Ila baadhi bado wako conscious
 
Rama namfahamu! Ingawa wazee badae walihamia Levolosi ila kila nikija Chuga Ololoo siachi kwenda ingawa age mates zangu wengi unga na viroba vimewalostisha sana! Ila baadhi bado wako conscious
Kweli mkuu wengi sana wa ololoo wameshaharibika sana na baadhi wamekufa au kuuawa.
 
[emoji23] [emoji23] me natokea maeneo ya boman na nimesoma apo meatu sec.iliyopo mwanyahina mpaka form four napafam kwa kina mzee sayi na kule chini kwa John Nungula
Ulimaliza mwaka gani mkuu meatu maana hats Mimi in product ya meatu
 
Back
Top Bottom