mikononyuma
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 641
- 600
MwakibugaMkuu umeisahau Mwadobana,dutwa na Nyakabindi
Sent from Calculator Phone vesion007
Eeeh Ndio. Mahenge,msamala,shule ya tangaYaaah! Nawe wakunyumba?
Kuna mwanjeshi pale Kizumbi alikuwa anaitwa Mbitiyaza!!ibinzamata
Kuna mwanjeshi pale Kizumbi alikuwa anaitwa Mbitiyaza!!
nataka tukakupime mkojoUnanifatilia unataka kunikamata?, Mzimuni sio Mikumi bwana ile ni Mapipa, Mikumi inaanzia kwenye barabara ile ya Kigogo kuelekea shule ya Karume mpaka yale maeneo ya Sheikh Yahaya japo yeye alikuwa yupo Mwembechai/Kagera
Mimi kile kipande cha nyuma ya Usalama, Mikumi Hospital
Boro chini
Majina GANI mkuu[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Kuna mdau ameniambia kwamba hayo sio majina ya ukweli