ashidodi
JF-Expert Member
- Sep 4, 2016
- 291
- 340
Hata mi napajua nilikuwa buhangijaKumbe ni majirani kabisa, ngoja niwakumbuke mamanzi wa pale mtaani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mi napajua nilikuwa buhangijaKumbe ni majirani kabisa, ngoja niwakumbuke mamanzi wa pale mtaani.
Mkoa gani sasa, mimi napajua shinyanga
Mrienyi, rauya, kokirie, maande, masia, mshiri, mboni, msae,kilema......komakundi mamba kisambo kotela
kokirie , msoroweMrienyi, rauya, kokirie, maande, masia, mshiri, mboni, msae,kilema......
Cc Asprin
hukohuko shy mkuu
Hahahakokirie , msorowe
haya karibu tenaHahaha
Hapo umenishinda kabisaa... Picha ziko kichwani sema majina yamenitoka
Naja krismasi mkuu....haya karibu tena
haya me nitakuwa mwanza nimewakwa bookingNaja krismasi mkuu....
Haya bhanaa.. Naona Umeanza uchoyo, sasa nitakuwa mgeni wa nani hukooohaya me nitakuwa mwanza nimewakwa booking
ha haha hii offer siwezi kuipotezea ila mwaka mpya nitakuwa hukoHaya bhanaa.. Naona Umeanza uchoyo, sasa nitakuwa mgeni wa nani hukooo
Mwamanoni,Mwamatiga,mwamanongu,mwamalasa,Masanga,mwamashele,mwamadulu,Ngofila...Shagihilu,Idisa....Lalago,sulu,bushtala,kizungu,mwabomba mwabaratulu,isanga njia panda,Itobanilo muhida,jihu,seke ididi,Kadoto,sayusayu,Dodoma,buyubi,Mwabagalu....kwa leo inatosha...Sanga mwalugesha,sanga itinje,Mwandu ikigijo,songambele,Iponanabholo-Mwandoya,igobe,Mwajisandu,Tindabuligi,longaloniga,mwakaluba,Mwaukoli,mwabuma,kisesa,Ipililo,Ikungulyankoma,Mwamitumai,SenaniNguliguli,mwabayanda,Zebeya,Mwang'olo,somanda,kidaganda,Nyamalapa,Zanzui,Budalabujiga,Gambasingu,Gamboshi,Nguliati,Mahembe....mkoo unauma kuendelea...ntaendelea baadae
Mmmmhha haha hii offer siwezi kuipotezea ila mwaka mpya nitakuwa huko