Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AWAMU ya JK
Hujakosea kabisaaaa
Niliwahi kupita hapo may ya mwaka huu gari likamwaga maji kutoka kwenye rejeta abiria walitokea dirishani i never forget the placeHujakosea kabisaaaa
Poleni sanaa, ndo kwetu hukoooNiliwahi kupita hapo may ya mwaka huu gari likamwaga maji kutoka kwenye rejeta abiria walitokea dirishani i never forget the place
Sent using Jamii Forums mobile app
aangaKwamtoro...Ovada,,,,ikiana
Kwamtoro...Ovada,,,,ikiana
ilikuwa shotkati nzuri sana kupitia SingidaMmh, umenikumbusha mbali sana niliwahi lala hapo Lori liliharibika natokea MWANZA kwenda Dar kabla ya Maendeleo ya sasa kuwa lami nchi nzima
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata wewe hutokei manyoni mbona mimi ni wa samaria manyoni,na kwa neno Urongo uliloanadika we ni wa +254cjui tu! nahis urongo
Masanza kona bila shaka jirani na Mwamanyili
Mtwango-Njombe,Mtwango secondary
Mkuu kuna Sakwe, Sarunda na Igegu mkuu pale bariadiNyakabindi, Ng'wakibuga, Old Maswa...Bupandagila Sec. School pale mh...
Hahahahahahha mbona hujataja Sherui, Ulemo, Kyengege, na Makunda kwa mheshimiwa sana?Songambele - Ndago Iramba
Hahahahaha tuanzie makutano jamani, tufike bweri, tupite Kariakoo tuingie makoko twende kigera-iringo-nyasho stendi tuchukue boda kwenda nyabange-kamnyonge-mwisenge-iringo na baadae tukapumzike Majita Muraaaa
Hiyo sio burundi mkuu, hiyo ni shinyanga town aiseeeeee hapo kuna nguzo nane, lubaga, old shinyanga, stendi ya manyoni na shy comHii lazima itakuwa Burundi wallah
We unashangaa kutotamkika tuu, kuna vingine havionekani kabisa mkuu (Mbingu ndogo), Njoo kwetu Gamboshi uone kama utafika..nikajua wana-jf wote wamezaliwa Dar,tena ocean road na wanaishi masaki,obey na mbezi beach tu
kumbe ni mbwembwe tu...vijiji vingine hata havitamkiki
Sent using Jamii Forums mobile app