Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁Unajua zile misheni ngumu ngumu wanazofanya CIA na MI6? Huwa lazima waongozwe na kikosi mojawapo cha makomandoo wa JWTZ.
Hawajawahi kufeli misheni wale, labda waamue kususia wenyewe au kugeukana mzigoni.
Kuna huyu mwamba wakati wa kurudi, baada ya misheni ya usiku kule ME, si akateleza kwenye kamba ya kupandia helikopta.
Basi bwana, unaambiwa jamaa aliogolea kukatiza bahari yote ya pasifiki hadi akafika pwani ya California, na wala hakuwa na vifaa vyovyote vya uogeleaji zaidi ya gwanda zake maalum na silaha nzito.
Baadaye nikirudi, ntaleta picha zake na jina kamili na tarehe ya misheni.
DAH.!!Watanzania tulio wengi ni wajuaji wa vitu tusivyo vijua njooni TUDANGANYANE KUHUSU makomandoo wa JWTZ
Story yeyote ya mtaani uliyoisikia kuhusu wao
Note:motto wao ni
PAIN IS MY MEDICINE
Upumbavu wa watu ambao hawajaenda jeshini kuvunja tofali kwa meno ile ni michezo makomandoo hucheza wakishamaliza kaziWanaweza kuvunja tofali kwa meno.
Stories za Commando Mahfoudh na Commando Tamim kama umekulia vijiwe vya Dar miaka ya 1980s lazima utakuwa umezisikia.Watanzania tulio wengi ni wajuaji wa vitu tusivyo vijua njooni TUDANGANYANE KUHUSU makomandoo wa JWTZ
Story yeyote ya mtaani uliyoisikia kuhusu wao
Note:motto wao ni
PAIN IS MY MEDICINE