Njoo tudanganyane kuhusu makomando wa Tanzania

Njoo tudanganyane kuhusu makomando wa Tanzania

Kama wanaweza kuruka nyumba. Yaani akiwa anakimbia au kukimbiza mtu akikuta nyumba anairuka kama kiunzi TU Cha wanariadha.......
 
Le
Makomandoo wa kiume wako very romantic yani ukitaka ku enjoy other side ya komandoo basi ingia nae kwenye mahusiano halafu sio bahili wale kuanzia kwenye pesa mpaka mnyanduano.
haki umenifanya nicheke sio siri
Vipi ulishawahi kuwa nae mmoja maana si kwa uzoefu huo
 
Yeah!!! Na ndio hajapata mpinzani mpaka sasa,, mdogo wangu hao no full package
Mbona kama unanishawishi nimtafute 🤣🤣🤣ila hawa watu wa mazoez mtiti wake unaweza kimbia na kufuli mkononi🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom