The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Nipo hapa Komandoo mstaafu,Makomandoo wa kiume wako very romantic yani ukitaka ku enjoy other side ya komandoo basi ingia nae kwenye mahusiano halafu sio bahili wale kuanzia kwenye pesa mpaka mnyanduano.
Unajua huyu kanimiliki kakaba kona zote na muhimu sio bahili ....... Hapa nafasi imejaaNipo hapa Komandoo mstaafu,
Kama unavyojua Once a soldier always a soldier.
Wishing you all the best dear.Unajua huyu kanimiliki kakaba kona zote na muhimu sio bahili ....... Hapa nafasi imejaa
Hii nayo fixiUnaambiwa tanzania tunao makomando saba tu
Ni mawazo yako na uko sahihiMada umeitoa kimzaa mzaa,ivyo hakuna radha,nadhani haikustahili jukwaa hili,sijui mods wanalionaje hili!!!
Unaharibu uzi Mkuu.Kwanza yale matofali wanatumia huwa wanayatengeneza wao, tofali kabisa lenye ratio mzuri ya cement wale makomandoo kwenye maonyesho anapiga kichwa anazirai hapo hapo.
😅😅😅Komandoo Lucas Mwashambwa
😆😆😆Komando anaweza kusonga ugali kwa kutumia mkono wake badala ya mwiko
haki umenifanya nicheke sio siriMakomandoo wa kiume wako very romantic yani ukitaka ku enjoy other side ya komandoo basi ingia nae kwenye mahusiano halafu sio bahili wale kuanzia kwenye pesa mpaka mnyanduano.
Yeah!!! Na ndio hajapata mpinzani mpaka sasa,, mdogo wangu hao no full packageLehaki umenifanya nicheke sio siri
Vipi ulishawahi kuwa nae mmoja maana si kwa uzoefu huo
ThanxWishing you all the best dear.
Mbona kama unanishawishi nimtafute 🤣🤣🤣ila hawa watu wa mazoez mtiti wake unaweza kimbia na kufuli mkononi🤣🤣🤣Yeah!!! Na ndio hajapata mpinzani mpaka sasa,, mdogo wangu hao no full package
Ha ha haKwanza yale matofali wanatumia huwa wanayatengeneza wao, tofali kabisa lenye ratio mzuri ya cement wale makomandoo kwenye maonyesho anapiga kichwa anazirai hapo hapo.