Bussiness mmoja nzuri sanaHapana mkuu mwaka huu korosho inapesa niamini nakuambia
Kwa uzoefu wangu mimi ambae huwa nanunulia korosho wilaya ya newala milion 6 unaweza kuizingusha mpaka mara 3Shida vyama havilipi on time mkuuu
Naangalia itv kila siku wanaanza akushukuru afu wanalia tunaombaa mtulipe kwa wakati
Na wengi wanassma wanalipwa wakati mwingjne .mda aa kupanda ushaisha
Kuwekeza mil 6 bila kuzunguka hili napo liangalie
Ni biashara mzuri sana hasa ufuta na korosho vuta picha mkuu kwa mtaji wa milion 6 upate faida ya shiling 200 kwa kila kiloBussiness mmoja nzuri sana
Nnzuri mkuu na ykipata mkawa waaminifu mnatengeneza hela nzuri tu mnabakia kuulizia wapi wameshavunaNi biashara mzuri sana hasa ufuta na korosho vuta picha mkuu kwa mtaji wa milion 6 upate faida ya shiling 200 kwa kila kilo
Nikweli kabisa mkuu hii biashara inachangamoto zake ikiwemo ya vijana wanaosaidia kukusanya mzigo kutokuwa waaminifuNnzuri mkuu na ykipata mkawa waaminifu mnatengeneza hela nzuri tu mnabakia kuulizia wapi wameshavuna
Nimeipenda hiiiKiukweli mkuu bado korosho zinalipa tu kwa mfumo wa kangomba ila inahitaji uwe na msuli wa pesa fikiria mfano umenunua korosho kilo 5000 kwa mchanganuo wa shiling 1300 kwa kangomba ambapo hapo inajumuisha na kijana anaekununulia ambapo yeye anachukua shiling 100 kwa kila kilo ndipo inakalia hiyo 1300... kwa hiyo ukiwa na mtaji wa kununua kilo 5000 kwa thamani ya shiling 6,500,000/= ambapo hapo imejumuisha kila kitu na ukipeleka ghalani hata ukipata faida ya kila kilo shiling 250 sio mbaya kwasababu itakuwa kilo 5000×250=1,250,000 faida....sasa tuwe tu wakweli kwa mtaji wa 6500000 uzalishe faida ya 1250000 tena ndani ya wiki 2 tu unaona ni kitu kidogo?
Juzi kati nilikuwa tandahimba karibu na vijiji vilivyo karibu na mto ruvuma kule chomachoma ni 1200 na korosho ni nyingi balaa tani 2 unapata ndani ya siku 3 tu
NomaShida vyama havilipi on time mkuuu
Naangalia itv kila siku wanaanza akushukuru afu wanalia tunaombaa mtulipe kwa wakati
Na wengi wanassma wanalipwa wakati mwingjne .mda aa kupanda ushaisha
Kuwekeza mil 6 bila kuzunguka hili napo liangalie
Kwa 1000 vipi??Hata ruangwa 1200
Mbona hamkutuambia sasa dahNi kweli inalipa lakini sio kama miaka 5 iliyopita ambapo Faida ilikuwa almost pasu pasu
Mfano kama umenunua Kangomba ya milioni 6.5 ilikuwa unapata Faida ya 7M ama 6M
Kuna sehemu unapata mwaka huu kdg wanunuzi wamekuwa na akili timamuKwa 1000 vipi??
Hii ni biashara ya ulanguzi,ukitaka uifanye kuwa rasmi unahitaji kuwa 'na vibali 'na uifanye kwa njia inayokubalika na serikali ikiwemo kununua korosho zako kwenye minada kitu ambacho unatakiwa uwe 'na mtaji wa kutosha.Kwanini usisafirishe kontena 1 upeleke China,India au Vietnam. Upate pesa maradufu
Fanya hivi edit uzi wako kwakuweka mambo yafuatayo..Wanajamvi, habari za muda huu na poleni na mihangaiko ya kutwa nzima.
Korosho ni zao linalolimwa zaidi mikoa ya Lindi na Mtwara na sasa ni kipindi rasmi cha msimu wa korosho.
Nahitaji Tajiri ambaye yupo tayari kununua korosho , kwa rejareja (kangomba ) kwa sababu nina uzoefu wa biashara hii na usimamizi wa zao la korosho. Kwa aliye tayari karibu sana, tuwasiliane Inbox.
Sio rahisi kumwambia Kila mtu, jambo la muhimu ni kuwa msomaji wa mara Kwa mara wa jukwaa la Uchumi na biashara.Mbona hamkutuambia sasa dah
Si rahis utatakiwa ununue korosho kwenye minada ya chama cha msing na mtaji wake lazm uwe mkubwa yeye anazungumzia kangomba (ulanguzi) kisha ukaenda kuuza kweny vyama vya msingKwanini usisafirishe kontena 1 upeleke China,India au Vietnam. Upate pesa maradufu
Masasi chomachoma ni 1500 hapa korosho msimu huu kutoboa 2000 ni ndotoJuzi kati nilikuwa tandahimba karibu na vijiji vilivyo karibu na mto ruvuma kule chomachoma ni 1200 na korosho ni nyingi balaa tani 2 unapata ndani ya siku 3 tu