Gemini Are Forever
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 1,508
- 2,619
Njoo tukosoane.
Andika kitu chochote unachoamini au kuwa na uhakika nacho kwamba ni cha kweli unavyofahamu wewe halafu member mwingine atakuja kukukosoa.
Mfano mimi siku zote nilikuwa nafahamu kuwa zile ndege zinazoacha mstari angani zilikuwa ni rocket na ile mistari ni moshi
Kumbe sivyo
Zile ni ndege na ile mistari ni mafuta yanayomwagwa, kuna uzi humu JF ulikuja kunikosoa
Uzi hauhusiani na yale usiyoyajua (Je, wajua?) bali ni yale unayoyajua halafu kumbe sivyo unavyojua wewe.
NB: Tusikosoane kwa lugha chafu, lengo la uzi ni kupanua ufahamu na kuelimishana zaidi.
Let's go!!
#MapachaDaima
Andika kitu chochote unachoamini au kuwa na uhakika nacho kwamba ni cha kweli unavyofahamu wewe halafu member mwingine atakuja kukukosoa.
Mfano mimi siku zote nilikuwa nafahamu kuwa zile ndege zinazoacha mstari angani zilikuwa ni rocket na ile mistari ni moshi
Kumbe sivyo
Zile ni ndege na ile mistari ni mafuta yanayomwagwa, kuna uzi humu JF ulikuja kunikosoa
Uzi hauhusiani na yale usiyoyajua (Je, wajua?) bali ni yale unayoyajua halafu kumbe sivyo unavyojua wewe.
NB: Tusikosoane kwa lugha chafu, lengo la uzi ni kupanua ufahamu na kuelimishana zaidi.
Let's go!!
#MapachaDaima