Mkuu observation yako iko poa sanaMtoa mada umeleta topic ya maana...
Mie ninazo njia nyingi ila kwa wanawake kuna spray za sumu na shauri muwe nazo.. kingine kwenye pochi zenu wadada jaribuni kutembea hata na bisibisi ukikosa hio chukua hata mchanga wa changarawe kwenye kirambo kama upo beach na umechelewa then unahofu hao watu itasaidia...
Kwa wanaume, mkanda wa kiunoni unahusu... huo unaweza kumtoa mtu kinyesi, pili kama umekutana na teja dili na korodani...pigo moja linatosha kupunguza mishemishe...
Njia nyingine kama unamizigo umetoka mikoani unaingia dar.. na umefika saa sita usiku.. kunja jinsiyako mpaka kwenye mapaja vua shati.. vua viatu... dar pako vizuri , kama ni arusha omba kampani au jaribu kutembelea ktkt ya bara bara na uwe unatembe zigzag usikaribiane na mtu wala kupisha naye unless upo free bila mzigo au mwanamke.
Nimekaa sana Tandika, sasa mizigo aliiacha Ubungo au?....
Alipishana nao vibaka wanampa salam tu " vipi mwana " anawajibu "mwana huko nilikogusa bilabila mwana "
Wanajua mwenzao [emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]
Alifika salama kabisa nyumbani kwangu Tandika saa saba na nusu [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Teh teh teh teh [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Naifahamu mbinu mojawapo, ukivamiwa na vibaka, usikubali kukosa vyote, usibishane nao, fanya moja kati ya yafuatayo, Kama umevaa saa itoe na uirushe mbali, au uelekeo waliko watu au kichakani. Unaweza kufanya hivyo kwa simu au wallet. Ukifanya hivyo kama wapo wawili au zaidi watagawanyika, wengine kukusachi na wengine kukimbilia ulichorusha.
Hapo watakuachia upenyo wakupambana na mara nyingi ukirusha kitu, akili zao huwaaminisha kuwa ni kitu cha thamani hivyo wote hukimbilia na kuanza kusigana kukitafuta.
Hapo nunua bandle la Hussein Bolt, kama kwenu ni Masaki, waje wakukutie Mbagala au Gongo la mboto.
Hii mbinu ndio nzuri asee.. Ukitembea night maeneo yenye vibaka unatafuta kitu kama kipande cha mbao au kitu chochote unaweka mfukoni wakija unakitupa wanajua katuma dini wakienda tafuta unakula kona fastaNaifahamu mbinu mojawapo, ukivamiwa na vibaka, usikubali kukosa vyote, usibishane nao, fanya moja kati ya yafuatayo, Kama umevaa saa itoe na uirushe mbali, au uelekeo waliko watu au kichakani. Unaweza kufanya hivyo kwa simu au wallet. Ukifanya hivyo kama wapo wawili au zaidi watagawanyika, wengine kukusachi na wengine kukimbilia ulichorusha.
Hapo watakuachia upenyo wakupambana na mara nyingi ukirusha kitu, akili zao huwaaminisha kuwa ni kitu cha thamani hivyo wote hukimbilia na kuanza kusigana kukitafuta.
Hapo nunua bandle la Hussein Bolt, kama kwenu ni Masaki, waje wakukutie Mbagala au Gongo la mboto.
Nimekaa sana Tandika, sasa mizigo aliiacha Ubungo au?
Mpaka sasa hivi naona wadau wengi wanaona kukimbia ni suluhisho kuu unapokutana na vibaka.
[Color=blue[duuuuuuuh hiyo Kali aisee[/color]Ndugu yangu alitoka mkoa akaingia Dar usiku akawa anakuja kulala kwangu huku uswazi Tandika nikamwambia hadi ufike kwangu utakuwa ashaporwa hadi korodani akasema nitafika tu. Alishuka ubungo saa sita kasoro usiku
Alitumia mbinu ile ya kuvua tshirt akaichomeka kwenye kiuno ikawa inaning'nia kama mkia hivi na suruali yake ya jinsi akakunja mguu mmoja ikafika magotini
Alivua raba akatundika begani akabakia peku peku na sigara alivuta sigara nyota siku hiyo .
Alipishana nao vibaka wanampa salam tu " vipi mwana " anawajibu "mwana huko nilikogusa bilabila mwana "
Wanajua mwenzao [emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]
Alifika salama kabisa nyumbani kwangu Tandika saa saba na nusu [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Kuna mdau katoa mbinu yake.[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Kwa wanaume mbinu hii inatufaa sana.
Vipi kwa upande wa pili???
Hafu ukiwa na hiii kitu, unakuwa kama nusu komando.Ahsante mkuu kwa mbinu zako.
Ila mimi mbinu yangu ni KIDONO/KINKUTI
hiyo hata unipige bisu la tumbo hakiingii. Watu wa mwambao wa ziwa nadhani wanajua hiyo kitu
Kaka hiyo kitu ni shidaaaHapo umeniacha.
Mkuu hili ni tatizo, niliwahi pambana na difenda la polisi, bahati nzuri waliuelewa mchezo akaitwa mtu anaenifaham mkuu,Kitu kizuri sana hicho mkuu.
Ukiwanacho hizo mbinu zako zote hutazitumia kabisa maana unaweza pifa hata difenda mbili za wajida na husikii kuchoka wala maumivu