Njoo Tupeane Mbinu Za kuwakwepa Vibaka

Njoo Tupeane Mbinu Za kuwakwepa Vibaka

Mtoa mada umeleta topic ya maana...

Mie ninazo njia nyingi ila kwa wanawake kuna spray za sumu na shauri muwe nazo.. kingine kwenye pochi zenu wadada jaribuni kutembea hata na bisibisi ukikosa hio chukua hata mchanga wa changarawe kwenye kirambo kama upo beach na umechelewa then unahofu hao watu itasaidia...

Kwa wanaume, mkanda wa kiunoni unahusu... huo unaweza kumtoa mtu kinyesi, pili kama umekutana na teja dili na korodani...pigo moja linatosha kupunguza mishemishe...

Njia nyingine kama unamizigo umetoka mikoani unaingia dar.. na umefika saa sita usiku.. kunja jinsiyako mpaka kwenye mapaja vua shati.. vua viatu... dar pako vizuri , kama ni arusha omba kampani au jaribu kutembelea ktkt ya bara bara na uwe unatembe zigzag usikaribiane na mtu wala kupisha naye unless upo free bila mzigo au mwanamke.
Mkuu observation yako iko poa sana
 
....

Alipishana nao vibaka wanampa salam tu " vipi mwana " anawajibu "mwana huko nilikogusa bilabila mwana "

Wanajua mwenzao [emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]

Alifika salama kabisa nyumbani kwangu Tandika saa saba na nusu [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Nimekaa sana Tandika, sasa mizigo aliiacha Ubungo au?
 
Naifahamu mbinu mojawapo, ukivamiwa na vibaka, usikubali kukosa vyote, usibishane nao, fanya moja kati ya yafuatayo, Kama umevaa saa itoe na uirushe mbali, au uelekeo waliko watu au kichakani. Unaweza kufanya hivyo kwa simu au wallet. Ukifanya hivyo kama wapo wawili au zaidi watagawanyika, wengine kukusachi na wengine kukimbilia ulichorusha.

Hapo watakuachia upenyo wakupambana na mara nyingi ukirusha kitu, akili zao huwaaminisha kuwa ni kitu cha thamani hivyo wote hukimbilia na kuanza kusigana kukitafuta.

Hapo nunua bandle la Hussein Bolt, kama kwenu ni Masaki, waje wakukutie Mbagala au Gongo la mboto.
Teh teh teh teh [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Naifahamu mbinu mojawapo, ukivamiwa na vibaka, usikubali kukosa vyote, usibishane nao, fanya moja kati ya yafuatayo, Kama umevaa saa itoe na uirushe mbali, au uelekeo waliko watu au kichakani. Unaweza kufanya hivyo kwa simu au wallet. Ukifanya hivyo kama wapo wawili au zaidi watagawanyika, wengine kukusachi na wengine kukimbilia ulichorusha.

Hapo watakuachia upenyo wakupambana na mara nyingi ukirusha kitu, akili zao huwaaminisha kuwa ni kitu cha thamani hivyo wote hukimbilia na kuanza kusigana kukitafuta.

Hapo nunua bandle la Hussein Bolt, kama kwenu ni Masaki, waje wakukutie Mbagala au Gongo la mboto.
Hii mbinu ndio nzuri asee.. Ukitembea night maeneo yenye vibaka unatafuta kitu kama kipande cha mbao au kitu chochote unaweka mfukoni wakija unakitupa wanajua katuma dini wakienda tafuta unakula kona fasta
 
Mpaka sasa hivi naona wadau wengi wanaona kukimbia ni suluhisho kuu unapokutana na vibaka.
 
Mpaka sasa hivi naona wadau wengi wanaona kukimbia ni suluhisho kuu unapokutana na vibaka.

Sio kwa vibaka tu hata ukiona ffu wanakuzingu ni nduki tu... wewe humuoni yule lema sio kwa speed zile kule jimboni..
 
Sio kwa vibaka tu hata ukiona ffu wanakuzingu ni nduki tu... wewe humuoni yule lema sio kwa speed zile kule jimboni..
Mbio ni silaha pekee ambayo inakuhakikishia kutoka salama kwenye dhahma yoyote.
 
Ndugu yangu alitoka mkoa akaingia Dar usiku akawa anakuja kulala kwangu huku uswazi Tandika nikamwambia hadi ufike kwangu utakuwa ashaporwa hadi korodani akasema nitafika tu. Alishuka ubungo saa sita kasoro usiku

Alitumia mbinu ile ya kuvua tshirt akaichomeka kwenye kiuno ikawa inaning'nia kama mkia hivi na suruali yake ya jinsi akakunja mguu mmoja ikafika magotini

Alivua raba akatundika begani akabakia peku peku na sigara alivuta sigara nyota siku hiyo .

Alipishana nao vibaka wanampa salam tu " vipi mwana " anawajibu "mwana huko nilikogusa bilabila mwana "

Wanajua mwenzao [emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]

Alifika salama kabisa nyumbani kwangu Tandika saa saba na nusu [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
[Color=blue[duuuuuuuh hiyo Kali aisee[/color]
 
Na ukipita kwenye uchororo then ina mwanga hafifu, kumbuka kujitanua ili uonekane kama baunsa, tunisha kifua na mabega, usisahau kama ni mfupi kanyagia vidole wakati wa kutembea.
Kuwa na majibu mkato na sio kujizungusha kwenye kujibu.
Na ukiona askari umeingia kwenye mtego wao usiku usiogope, wakikuuliza wajibu short cut, usiogope wala usitetemeke. Hizo mbinu mi zimenisaidia sana TEMEKE yote nishaimaliza usiku.
Usipende kutembea usiju ukiwa umevaa sandals, pendelea kuvaa raba za karate (yaani zile raba zisizo ya nyuzi za kufungia)kwa wenye uelewa hata kama ni kibaka kidogo wakiona hizo raba wanajua nini namaanisha.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa noma
 
Kwa mdada mbali na mbinu zote kwanza awe amevaa kipensi cha jinzi ndani.
 
Ahsante mkuu kwa mbinu zako.
Ila mimi mbinu yangu ni KIDONO/KINKUTI
hiyo hata unipige bisu la tumbo hakiingii. Watu wa mwambao wa ziwa nadhani wanajua hiyo kitu
Hafu ukiwa na hiii kitu, unakuwa kama nusu komando.
Am simple in figure but complex in action,
Ni miongoni mwa wale tulopewa mkono wenye mfupa mmoja nilichanjwa hayo madude sasa najuta.
Niliwahi kukabwa mitaa fulani kilichotokea hata mimi najuta nilkusanya kikunde ndani ya sekunde wako hoi hafu kinkuti kikasimama dede. Kibaya zaidi alikuwemo mtu wangu wa karibu, niliwahi kuitwa jambazi kwa sababu ya hivi vitu mkuu.
Ushauri kama unajua unavyo na hamna mtu wa kukutuliza asee usiviamshe, waache wapige visu vyao wewe ujiendee tuu, hivi vitu kuua ni dakika sifuri.

Nasema utaitwa muuji mda usio ujua asee.
 
Kitu kizuri sana hicho mkuu.
Ukiwanacho hizo mbinu zako zote hutazitumia kabisa maana unaweza pifa hata difenda mbili za wajida na husikii kuchoka wala maumivu
Mkuu hili ni tatizo, niliwahi pambana na difenda la polisi, bahati nzuri waliuelewa mchezo akaitwa mtu anaenifaham mkuu,
Tatizo mi hua naumka mkuu[emoji35] [emoji35]

Nishatafuta mbinu za kuvitoa lakini niliambiwa njia moja tuu ya kutuliza akili,
Labda wwnzangu mnisaidie
 
Back
Top Bottom