Njoo tushauriane jinsi ya kuacha kazi sehemu moja na kufuata greener pasture

Don't fix it if its not broken
 

Kama hajafikia maamuzi mwenyewe na anategemea ushauri, mwambie akae hapo hapo.

Kujiajiri ni wito na kamwe sio matako ambayo kila mtu anayo, akae atuliw kwenye ajira..

Ukiona mtu anataka ushauri kuhusu wito wa kujiajiri ujue ajafikia kujiajiri, mwambie asithubutu.
 
Weka. Nyama mkuu
 
Mpe connection ya ajira au mchongo, huyo anatafuta first step wewe unaongea nae kama tayari yupo 7 step. Mwanzo mgumu huyo yupo level ya nitoke vipi
Juzi kati Kuna nyuzi ya nyimbo za zamani hapa hapa JF.....
nilichek wimbo wa Binti mlokole By Father G.....
wimbo wa sikumbuki jina unaitwa SINA DEMU....
Na mwisho wimbo wa bwana misosi- nitoke vp?
Kwenye video bwana misosi ana andika na kufuta..mara anachana karatasi...Nitoke Vp 🤓🤓😊😊
 
😊 Nimecheka kama mazur kwel wito wakujiajir sio Kwa watu wotee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…