Njoo tusimualiane Mambo ya kutisha/kuogopesha uliyowahi kushuhudia hapa Duniani

Aiseee...

The same to me...

Commet yako imenipunguzia majuto, uwa nadhani nipo peke yangu ninaepita katika njia hii ya kutodumu katika mahusiano.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hafu mavikosi na haya mambo hata sijui inakuwaje. Nmewahi kaa vikosi vitano tofauti...hizi mambo zipo tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Rafiki yake baba angu ambaye kwa Sasa Ni mwanajeshi mstaafu....
Walikua gadi mlangon kambini Usiku Askari mwenzao akaja kuwa taarifu Kuna jamaa wanne wanakuja kwa Kasi kuelekea lango la kambi....
Wakatoka kwenda kuwasimamisha kutoa Amri watu wanakuja....
Wakazikoki bunduki Kupiga risasi hazitoki.......
Your browser is not able to display this video.

Jamaa walipo karibia geti wakapotea tukio hujirudia rudia kambini hapo
 

Duh


Alexander
 


πŸ™„πŸ™„ ikawaje sasa baada ya risasi kugoma kutoka?
 
Mimi nmwezi jana nilikutana na jikovidi fulan kauzu refu kama kamasi, nilivyo mfupi size ya tairi ya kirikuu ebwana niliipiga kata funua kama drogba.

Ile limeruka tu, nasikia takwimu, oyaaaaaaaaaa, mechi bila bila. Nikala waya fasta


Sent using Kirikuu
 
Kama ukoo hauna mchawi?

Twende Taratibu...Kuelewa Ni Mchakato
 
Yaan anasema wale jamaa wanakuja kwa Kasi kuelekea lango Lakini hawafiki nyinyi mnakua mnawaona Askari wa zamu Wana toa Amri kwa sauti jamaa wanakuja tu
Wanazikoki bunduki Kupiga Risasi hazitoki
Mpka Askari Wana amua kukimbia Ila wakirudi hawakuti kitu...
 
πŸ™„πŸ™„ ikawaje sasa baada ya risasi kugoma kutoka?
Yaan anasema wale jamaa wanne wanakuja kwa Kasi kuelekea lango la kambi Lakini hawafiki.....nyinyi mnakua mnawaona.......anasema Askari wa zamu wanashituana na kutoa Amri kwa sauti jamaa wanakuja tu....

Wanazikoki bunduki Kupiga Risasi hazitoki
Inabidi Askari Wakimbie wanahisi labda bunduki ndio tatizo wanaenda chukua bunduki zingine Hali inajirudia ile ile.....Wana kimbia kwenda kuita wanajesh wengine akirudi hawakuti kitu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…