Drat
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,160
- 1,359
Yani uandishi wa kilichotutokea ni wa level ya chini?humu wote mnaandika level ya chini.
Au sisi ni watu wa level ya chini kwa kuzingatia status,uelewa n.k?Au.
I feel offended..., sio poa...😕
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani uandishi wa kilichotutokea ni wa level ya chini?humu wote mnaandika level ya chini.
Acha uzwazwa, kiki hiyo humu sasa hivi imezoeleka. Tafuta nyingine, si uzi wa kupimana uandishihumu wote mnaandika level ya chini.
Unasemaje mzee wa misukule ebu leta basi za level ya juu watu tusome.humu wote mnaandika level ya chini.
[emoji3][emoji3][emoji3]si kakuona wewe ndio mnyonge wake[emoji2]
Mdogo wangu kua uyaone mwenzio nimekula chumvi nyingi, pia nimeona mengi. Mi mwenyeji wa gamboshi[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ah kudadeki. Hapa umetubeba , mkuu. Huo muda wa kuvua/kubadili nguo unapata wapi?
Hapana haijawah tokea hiyo, kuna siku mnaamka na umande kwelikweli lakini mswaki mkavu kama kawaida
Aiseee...nimewahi ila nakumbana nachangamoto moja tukatika mahusiano yangu eidha hua sikai sana namwanamke ama kama nitajaribu nanikafanikiwa kusex nae basi ndio maisha yetu yamahusiano hua yanaasilimia kubwa sana yakufikia ukingoni
Nb:-katika mahusiano yangu yote nilio wahi kukaa nayo huyo msichana tajwa hapo juu ndie alikua msichana niliekaa nae sana katika mahusiano na haukufika ama kuzidi mwaka mmoja wanyuma nilikaa nao kiasi ila sikudumu nao
Ila baada ya yeye hakuna mwanamke ama msichana nlietimiza nae miezi walau mitatu kama ikibidi sana mmoja ama mmoja nanusu mpaka miwili.....
Sent using My COVID-19
Rafiki yake baba angu ambaye kwa Sasa Ni mwanajeshi mstaafu....Hafu mavikosi na haya mambo hata sijui inakuwaje. Nmewahi kaa vikosi vitano tofauti...hizi mambo zipo tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
hhh hmna kaka tpo wengi mzee.....Aiseee...
The same to me...
Commet yako imenipunguzia majuto, uwa nadhani nipo peke yangu ninaepita katika njia hii ya kutodumu katika mahusiano.
Sent using Jamii Forums mobile app
Rafiki yake baba angu ambaye kwa Sasa Ni mwanajeshi mstaafu....
Walikua gadi mlangon kambini Usiku Askari mwenzao akaja kuwa taarifu Kuna jamaa wanne wanakuja kwa Kasi kuelekea lango la kambi....
Wakatoka kwenda kuwasimamisha kutoa Amri watu wanakuja....
Wakazikoki bunduki Kupiga risasi hazitoki.......
View attachment 1457550
Jamaa walipo karibia geti wakapotea tukio hujirudia rudia kambini hapo
Rafiki yake baba angu ambaye kwa Sasa Ni mwanajeshi mstaafu....
Walikua gadi mlangon kambini Usiku Askari mwenzao akaja kuwa taarifu Kuna jamaa wanne wanakuja kwa Kasi kuelekea lango la kambi....
Wakatoka kwenda kuwasimamisha kutoa Amri watu wanakuja....
Wakazikoki bunduki Kupiga risasi hazitoki.......
View attachment 1457550
Jamaa walipo karibia geti wakapotea tukio hujirudia rudia kambini hapo
Kama ukoo hauna mchawi?Naunga mkono kwa kiasi chake
mama angu bibi yake mzaa mama alikua mwanga mno Aliwatafuna watoto wa kwanza wa wajukuu zake wote wa kike na baadhi ya mama zangi wadogo hawajazaa mpaka leo.
Mama aliniambiaga kuwa chochote unachotaka kufanyiwa kishirikina lazima mchawi wa ukoo wenu akithibitishe. Kama hakithibitishi hufanyiwi kitu ( ni kama hukumu ya kunyongwa mpaka rais atie sahihi) akanipa mfano; Mkiwa ndani asubuhi mkiamka lazima nyumba muifungue wenyewe mtoke nje, mtu wa nje hawezi kufungua kuingia ndani. Kwahiyo hapo kwenye ukoo hapo nakubaliana huwenda ndio maana hatuoni mauza uza ila pia anakiukizaga mikoba ya bibi huyo kairithi nani [emoji3]
hakuna ukoo uliokosa uchawi mkuu.Kama ukoo hauna mchawi?
Twende Taratibu...Kuelewa Ni Mchakato
Yaan anasema wale jamaa wanakuja kwa Kasi kuelekea lango Lakini hawafiki nyinyi mnakua mnawaona Askari wa zamu Wana toa Amri kwa sauti jamaa wanakuja tuRafiki yake baba angu ambaye kwa Sasa Ni mwanajeshi mstaafu....
Walikua gadi mlangon kambini Usiku Askari mwenzao akaja kuwa taarifu Kuna jamaa wanne wanakuja kwa Kasi kuelekea lango la kambi....
Wakatoka kwenda kuwasimamisha kutoa Amri watu wanakuja....
Wakazikoki bunduki Kupiga risasi hazitoki.......
View attachment 1457550
Jamaa walipo karibia geti wakapotea tukio hujirudia rudia kambini hapo
Yaan anasema wale jamaa wanne wanakuja kwa Kasi kuelekea lango la kambi Lakini hawafiki.....nyinyi mnakua mnawaona.......anasema Askari wa zamu wanashituana na kutoa Amri kwa sauti jamaa wanakuja tu....🙄🙄 ikawaje sasa baada ya risasi kugoma kutoka?