Njoo tusimualiane Mambo ya kutisha/kuogopesha uliyowahi kushuhudia hapa Duniani

Njoo tusimualiane Mambo ya kutisha/kuogopesha uliyowahi kushuhudia hapa Duniani

hua naota napigana Sana na watu nsiowafahamu na sio mara moja ,mbili ....nimekua mpaka sasa hivi kidogo Nina kama mwaka sijaota ..

hujirudia kama miez kadhaa ikipita.

huwa hawanipigi ila huwa nawapiga lakini huwa nawakubali kushindwa ....na hua sikubali kuwaacha ...huwapiga kweli lakini bado wapo ......

mara nyingi ndoto huishia hapo bila muendelezo kwamba nini kilifuata .......

nikikaa muda sana huwa nakuja kuota tena....watu huwa Sura zao nashindwa kuzikalili....

sijawah kusikia nywele cjui kusimama nikipita mahali au mwili cjui kukosa nguvu, moyo kwenda mbio , kuhisi nakimbizwa labda nikipita mahala Fulani .......
 
hua naota napigana Sana na watu nsiowafahamu na sio mara moja ,mbili ....nimekua mpaka sasa hivi kidogo Nina kama mwaka sijaota ..

hujirudia kama miez kadhaa ikipita.

huwa hawanipigi ila huwa nawapiga lakini huwa nawakubali kushindwa ....na hua sikubali kuwaacha ...huwapiga kweli lakini bado wapo ......

mara nyingi ndoto huishia hapo bila muendelezo kwamba nini kilifuata .......

nikikaa muda sana huwa nakuja kuota tena....watu huwa Sura zao nashindwa kuzikalili....

sijawah kusikia nywele cjui kusimama nikipita mahali au mwili cjui kukosa nguvu, moyo kwenda mbio , kuhisi nakimbizwa labda nikipita mahala Fulani .......
Huwa naota sana hii

Hata vita ikiwa ya kundi kwa kundi basi kundi langu mimi huwa tegemeo
 
Me nakumbuka wakati nikiwa darasa la5 mtaani kwetu kulikuwa.kuna mti wana ukata unasema niacheni msinikate.unapiga kelele ulikuja kukatwa mpaka walivyoita waganga.sitasaau Siku ile ndo niliamini uchawi upo.
 
Nilipogundua waganga na wachawi ni wana tu.

Baada ya kupata kibarua cha kwanza na mshahara kuwa mdogo sana nilikuja kukaa dar kwa ndugu yangu .

Basi majombii yalikua yanamchezesha balaa. Mara kunyolewa, mara kupigwa chale yan ili mradi vurugu tu.

Akasema kuna mganga anafahamiana nae hivyo hana hata malipo ikabid twende akatupige kijikinga. Sikua na namna kwa kuwa naishi hapo tukaenenda mitaa ya vingunguti huko.

Phase1; Kufika bhana mida ya saa moja jioni, tukapewa madawa yamewekwa kwa maji kila mtu akaenda kuoga tukaambiwe tukalale , tutaanza kuroga mida ambayp wachawi wanatoka.

Phase; mida ya saa 7 usiku nikaamshwa. Nikawekwa kwenye kistuli, nakuta mganga kapandisha majini anafoka foka tu. Daaah.
Nikaambiwa nigeukie Kibla (nanukuu , hili lisihusishwe na dini tafadhali) nikawa sielwi elewi nikaelekezwa chap.

Gongwa chale kadha wa kadha na midawa inawashaaa. Fala yule sijui alitupaka pilipili.

Zoezi likafanyika kwa wote.

Phase3 : kuingia ndani kwenda malizia tulale sasa, ukaanza upepo mmoja sio wa kawaida unaingia ndan ya nyumba. Ikawa juu ya bati kama kuna disco wat wanacheza. Varangat mtindo mmoja.

Yule mganga akatoka na madawa na vifaa vyake nje, piga ndumba sana mpaka hali ile ikapotea.

Akarudi akatuambia ni hao washua wanaotupatiaga kichapo ndio wamekuja kumuomba kuwa wanegotiate atupe kidawa uchwara alafu baada ya muda waendele kutupa mbata kama kawa na wamemuahidi pesa. Ila akadai kawagomea.


Tukamaliza, kesho yake tukarudi home. Hali ikatulia ila baada ya muda wale wachawi sijui walireceive Major updates sijui walitumia VPN gani moto ukawa pale pale.
Ulitatuaje ilo tatizo
 
Nimeandika hapo na usingizi mwenyewe umekata maana hata chumba nilichopo nakiogopa ila mambo haya ni nguvu ya kishirikina na ninadhani ule ulikuwa ndio mwisho wangu ila Mungu mwenyewe alinipigania ila uchawi upo na unafanya kazi vizuri sana ile kitu ilikuwa planned na walioplan mmoja akiwa ni jirani yetu japo kwa umri sasa hivi ni mzee sana na wenzake walishatangulia mbele ya haki ila kiukweli mambo ni mengi mie ilikuwa ikifika usiku ujue raha sina maana najua kumekucha hakuna kulala moja ya tukio kuna siku pale home baada ya tukio hilo ilikuwa jmos asubuhi nikaambiwa nikateke maji mtoni nikazingua nikaendekeza kucheza kuja kustuka bi mkubwa ananiita huwezi nikakimbilia porini kwa kuogopa kuchapwa toka saa nne aasubuhi ajabu ni kuwa nilikuwa sijui polini nimeenda kutafuta nini na kumbuka tabora kunaoongoza kuwa na nyoka koboko basi mie ndio nikaenda huko zungunga sana jua la saa nane nipo huko nakula matunda pori tu nikawa nimesikia joto katika kuzunguka zunguka nilitokea sehemu kuna maji mengi kama ziwa na lile joto nililokuwa nalo nikasema ngoja nivue nguo nioge nikavua ila roho ikasita kuoga nikavaa nikaondoka nikajikuta sijui njia ya kunirudisha nyumbani na kigiza kinaingia Mungu saidia kuna mzee mmoja wa kijiji cha pili alikuwa anachunga ng'ombe akaniaona na anawajua pale home ndio kunirudisha nyumbani ajab mama hakunichapa na alikuwa ameshanitafuta kwa washikaji wangu wote hakunipata hivyo baada ya kuniona kwanza nimepauka nilipewa tu maji ya moto kuoga na kula nikashida nikaenda kulala sasa cha ajabu asubuhi ambayo ilikuwa j2 nikawasimulia sehemu nilipoona lile ziwa la maji ile sehemu hakuna historia ya kuwa ziwa la maji hata bwawa kuna miti ya Milumba na mitundu kwa wingi kama unaijua, wazee nao ikabidi waanze kuhangaika ndio mambo kutulia ila hii dunia ina mambo sana ukijiona mzima unalala vizuri unaamka salama hakuna wenge lolote mshukuru sana Mungu mie wazazi walikuwa watu wa dini sana walikuwa hawaamini uchawi ila waliamini
[/QUOTE]

Mkuu una hadithi moto moto, lakini huweki koma wala nukta mpaka naona ni uongo. Ama sio uongo, lakini sio ukweli.
 

Mkuu una hadithi moto moto, lakini huweki koma wala nukta mpaka naona ni uongo. Ama sio uongo, lakini sio ukweli.
[/QUOTE]
Inaonekana umemaliza while juzi bahati mbaya sio kila mtu anayeandika anaweza kufata alama za uandishi kikubwa wewe elewa kilichoandikwa! Na haulazimishwi kuamini unaweza kuamini vyovyote unavyojisikia
 
Nimeandika hapo na usingizi mwenyewe umekata maana hata chumba nilichopo nakiogopa ila mambo haya ni nguvu ya kishirikina na ninadhani ule ulikuwa ndio mwisho wangu ila Mungu mwenyewe alinipigania ila uchawi upo na unafanya kazi vizuri sana ile kitu ilikuwa planned na walioplan mmoja akiwa ni jirani yetu japo kwa umri sasa hivi ni mzee sana na wenzake walishatangulia mbele ya haki ila kiukweli mambo ni mengi mie ilikuwa ikifika usiku ujue raha sina maana najua kumekucha hakuna kulala moja ya tukio kuna siku pale home baada ya tukio hilo ilikuwa jmos asubuhi nikaambiwa nikateke maji mtoni nikazingua nikaendekeza kucheza kuja kustuka bi mkubwa ananiita huwezi nikakimbilia porini kwa kuogopa kuchapwa toka saa nne aasubuhi ajabu ni kuwa nilikuwa sijui polini nimeenda kutafuta nini na kumbuka tabora kunaoongoza kuwa na nyoka koboko basi mie ndio nikaenda huko zungunga sana jua la saa nane nipo huko nakula matunda pori tu nikawa nimesikia joto katika kuzunguka zunguka nilitokea sehemu kuna maji mengi kama ziwa na lile joto nililokuwa nalo nikasema ngoja nivue nguo nioge nikavua ila roho ikasita kuoga nikavaa nikaondoka nikajikuta sijui njia ya kunirudisha nyumbani na kigiza kinaingia Mungu saidia kuna mzee mmoja wa kijiji cha pili alikuwa anachunga ng'ombe akaniaona na anawajua pale home ndio kunirudisha nyumbani ajab mama hakunichapa na alikuwa ameshanitafuta kwa washikaji wangu wote hakunipata hivyo baada ya kuniona kwanza nimepauka nilipewa tu maji ya moto kuoga na kula nikashida nikaenda kulala sasa cha ajabu asubuhi ambayo ilikuwa j2 nikawasimulia sehemu nilipoona lile ziwa la maji ile sehemu hakuna historia ya kuwa ziwa la maji hata bwawa kuna miti ya Milumba na mitundu kwa wingi kama unaijua, wazee nao ikabidi waanze kuhangaika ndio mambo kutulia ila hii dunia ina mambo sana ukijiona mzima unalala vizuri unaamka salama hakuna wenge lolote mshukuru sana Mungu mie wazazi walikuwa watu wa dini sana walikuwa hawaamini uchawi ila waliamini
[/QUOTE]
hayo mawenge tu ,halafu hiyo kusema eti jirani ndio alikua anahusika ndio mnasingizia watu wanauawa hasa maeneo ya shinyanga mnaua mabibi wa watu bila hatia,hapo ilibidi tu upimwe akili na malaria
 
Naomba nimuite ndugu Mshana Jr aweke neno. Haya mambo yapo kwa kuusema usemi, "lisemwalo lipo,kama halipo, litatokea."

Binafsi sijawahi shuhudia chochote kwa macho yangu ya nyama zaidi ya haya...

Wakati flani nilikaa maeneo ya bonde la mpunga, hapo wakazi wake wengi ni waswahili na mie maisha yangu ilikuwa kwenda kazini kurudi najifungia ndani.

Usiku mmoja nimelala chumbani kwangu nikastuka naona taswira kama ya kibibi kinaingia dirishani kwangu kwa njia za kimiujiza huku anapiga kelele. Nikaanza kusema kwa jina la Yesu tokaa (nililelewa kwenye familia za kilokole) kikapotea nikarudi kulala.

Siku ingine nimelala nastuka kabisa nasikia mtu amevuta nywele zangu za utosini kwa kuzikata na kucha ya kidole chake na baada ya hapo akatoweka sikuona mtu ila hali ya nywele kutoka kwenye utosi wangu niliisikia kabisa japo sikusikia maumivu na hapakubaki kipara nilikuwa na nywele ndefu.

Mara nyingine inanitokea usingizini napambana na nguvu za giza usingizini maana ya kwamba kama mashetani au kitu kinanikaba. Kisha sauti inaniambia kemea, sali nikianza kusali napata nguvu na kile kitu kinakimbia, baadae kinarudi tena nakemea naongeza nguvu nazidi kukemea halafu najiona nguvu za maombi zinaniongezeka ghafla nastuka kutoka usingizini najikuta naendelea kusali na inaweza kuchukua hata nusu saa nzima kama si lisaa ndo maombi yanakata, nikijaribu kuacha kusali nashindwa nakuwa sina utashi wa kunyamaza hadi hali ya kusali iishe..

Huwa najiuliza kama ni ndoto nilipostuka ilitakiwa ikate, sasa nastuka bado najikuta naendeleza kusali kwa kukemea, safari moja hadi nikainuka kitandani out of my will nikiwa nasali.

Sijajua kama hayo nayo ni matukio ya kutisha au vimbwanga ama laah...

Nachojua, ulimwengu wa roho upo na unapande mbili, nuru na giza. Si mtu wa dini sana ila...lisemwalo lipo kama halipo litatokea.

Si muamini wa mambo ya kishirikina na yafananayo ila kwa dini yangu ya kikristo niliyokulia natambua ulimwengu wa giza unamazagazaga kama hayo waliyoelezea memba wengine halo juu.
ukipiga ka whysk au wine kidogo kabla ya kulala ,hayo mawenge ya akili huwezi kuyapata
 
Mimi binafsi nakumbu miaka ya nyuma sana katika kijiji chetu walikuja waganga ambao wanaitwa lambalamba bs bwana hao kz yao kutoa uchawi kwa kila nyumba na kila mtaa sasa nilichokishuudia kwa macho yangu, palikuwa na kijana akawa anawazalau wale waganga Ebwana wakamgeuza mwanamke palepale,sasa ikawa mshikemshike kumpepua ndugu wakja yomi pale wanawaomba wamueke sawa waganga wakawa wanataka 300000 taslim ndugu awana wao wana 200000,Ndio kuwasaidia.Jamani uchawi upo,


Sent using Jamii Forums mobile app
huyo kijana na hao waganga wote lao moja ni kama wale wakenya wanaojifanya kunasiana mara kaiba mzigo kaubeba hawezi kuutua,au yule mchawi aliyeanguka kwenye nyumba ya mchungaji ,wakizulumiwa mgao wanatoa siri
 
Back
Top Bottom