Njoo tusimualiane Mambo ya kutisha/kuogopesha uliyowahi kushuhudia hapa Duniani

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]aisee hatari sana
 
Kumbe jina la Yesu lina nguvu Hivi maana wengi wanapokutana na vitimbi vya nguvu za Giza wakilitaja wanapata ushindi.
Ukiwa na imani nalo. Ni zaidi ya balaa.

Kuna jamaa aliwahi kufanya mazingaombwe yake na kujifanya mganga uchwara hiki kibuyu huwezi kukinyanyua nkamwambia Mimi nitakinyanyua kwa jina YESU KRISTO. Sikuwa na shaka moyoni, nikakinyanyua ila wakati nakishika ni kama nilikula shoti ndogo ya umeme.
So ukiliamini unatoboa

Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
 
Why? hukumsaidia mwenzako na alikuita sana.
 
Si useme ulikuwa kikosi no 41

Sent from my SO-01K using JamiiForums mobile app
 
Nakumbuka nlikuw bado nasoma sekondari wakati huo nikiw form2.Kuna nyumba moja tulikiw tukiishi ilikuw na mauzauza sana,yaan ilikuw ikifika jion nawaza sana,maana pia wakati huo nlikuw naishi na baba yangu tu.Ilikuw ikifika usik unakuta watoto wanalia dalini,usk njozi mbaya,mauzauza ya ndotoni yanamalizikia unapofumbua macho unaamka.

Sasa kuna siku tulipata wageni ambao walikuw ni binam zangu.Hao binam walikuw wa5.Wa3 kati yao walitangulia kufika kitambo kdg hvyo hali ya pale walikuw wanaijua lkn hawa binam 2 wakike walikuw ni wagen kbs.Binam hawa waliokuja mara ya mwisho walikuw wakike mmoja alikuw tyr ninmtu mzma kbs na alikuwa na yale wanaita maluhan kama sikosei na mwngne alikuwa bado mdg nadhan alikuw 10yrs

Sasa usiku wa siku ile waliyofika ikabid sisi wakiume tuwapishe room yetu na tukajilaze huko sebuleni kwny makochi.Basi tukalala fresh.Sasa mimi kwakwel ikiw kama kuna mchaw au shughul ya kichaw usk huwa nakosa usngnz kbs.Basi ndivyo ilivyokuw siku ile,yaan kila nikilala ni mauzauza naamka kila nikilala amuzauza naamka,wenzangu wanakoroma tu hapo,bas bwana mida ileile ya hatar(saa9)yule binam wa kike akaniita kwa kwa saut kama yenye kutaajab sana,nikaenda kule kumsikiliza akaniuliza je pale nyumban kuna wachaw?wachaw huwa wanakuja na kusumbua?[emoji38][emoji38][emoji38] aisee nikamshangaa nikamuiliza kwani vp bina.Akasema anawasikia wachawi wanapika ugali jiko(jiko ilikuwa ukitoka tu pale chumbani unatokea koridoni mlanho wa kwanza sebuleni wa pili jikonupande wa kulia)nikamjib nikwel bina pale ndani ni tatzo sana.Basi akasema anaomba tuende mimi na wale binam zangu wengne tukalale mle chumbani,ikawa hvyo.

Tukatandika godoro na mito ya makochi tukalala[emoji38][emoji38][emoji38](mito ya makochi kulalia shughul sana tuliiweka upande wa ukutan tukasapot na godoro)
Mungu mwaminifu na mimi ndio nikapata usingiz!!!!!!!!!!!!!!!

Aisee kuna zile ndoto mtu unaota lkn kila kitu katika ulimwengu halisi unakiona ndotoni yaan nikama huoti bali unashuhudia kwa macho,maana upepo unafeel kabs,mazingira ni very vividy yaan kila kitu ni kama vile vile,basi mimi ndio nikaota niko juu sana kama nimening'inizwa halafu chini ndio nyumban penyewe ndan ndio nmelala,nikiaangalia toka kule juu naona hadi ndani,upepo unanipuliza na barid lile la kule nyanda za juu kusini nalisikia,ukungu nauona.Kutoka kule juu nliweza kukna hadi ndani ni kama paa na dali vilikuw vimeondolewa,pale ndani kulikuwa na watu wamevaa nguo nyeupe sana lakn walikuwa na damu mdomoni ni kama walikuwa wametoka kula lkn ni walikuwa wamekula ovyo ovyo kama mtoto mdogo alavyo yaan walichafuka mdomoni hadi mashavuni kwa damu.Aisee ghafla nikakuta naanza kuanguka kuelekea mle ndani.Ile nawakaribia tu nikashtuka usingizini hadi nakuamka hapohapo(yaan ile kufumbua macho na kuinuka hapohapo)

Pale ndio niliona kitu sjui kama ntaona tena maishani mwangu.Vile nmeinuka na nlikuwa nmelala miguu imegeukia mlangoni nliona mtu mweupe naweza kusema alikuwa mwarabu au mzungu sjui mhindi kwa jins ya nywele zake.Mtu yule alikuw amevaa kanzu nyeupe sana na baragashia vile alikuw anaenda sikuiona sura yake,lakn alipofika karibu na mlango atoke kbs haikuwa hvyo(chumba changu hakikuwa na mlango wa kufunga jamani ila pazia tu ambalo nalo kuliingiza kwenye ile kamba yake ilikuw ni taab maana kamba ilikuwa na vifundofundo halafu njia ya pazia ilikuw nyembamba pia hvyo hata ufanyaje lile pazia haliwezi kuteleza kwenye ile kamba)Yule mtu badala yake lile pazia lilislide[emoji38][emoji38][emoji38] nayy hakupitiliza kutoka bali alisimama na akaanza kuslide kwenda kulia kuingia ukutani huku pazia likirudi polepole kufunika eneo la mlango ambapo tu yule anaiacha.Aisee niliganda tu nilikuwa kama kopo hiv.kuongea siwez kuita siwezi.mpk yule mtu kapotea kbs

Sikumsimlia mtu nlibaki nalo mwnyw.

2.PALEPALE MLANGONI YULE MTU ALISLIDE KUINGIA UKUTANI SASA SIKU YA MWISHO NA BAADA SIKU KADHAA TUKAHAMA.

Siku hyo nmetoka skuli fresh jion kama kawaida yangu nikajipikia mlo nikala nikapata usingiz kdg.Kwny saa12 na nusu jion nikaamka nikasogea pale jikon niweke mambo sawa.Mlango wa kutokea nje nmeurudishia kizushi.

Aisee ile nmekaa sjui nawaza nn mawazo yako mbali pale jikon nikasikia hatua za miguu,zile hatua nikama skuna za kina dada(skonkinko[emoji38])koh koh koh yaan zinakanyaga kwa kuachiana kaumbali fulani hv very fair.Ule mwendo ni dhahil ni wa kimiss miss au kama mdada anatembea kimaringo(ila zile saut zilikuwa zinaambata na kama mchanga unasagika unapokuta na vile viatu(sjui)na sakafu)bwana bwana nikawaza nani kaingia bila kupiga hodi?form yangu hii warembo nawaogopa kweli nan huy sasa?nikatoka nachek koridon holaaa nikawaza (au kazama chumban kwangu na vile hakuna mlango wa kufunga ni oazia tu?)nikajongea hadi pale mlangoni.Ile niguse lile pazia(upande uleule wa pazia yule mwamba mzungu sjui mwarabu alipotelea)nilipigwa shoti ya umeme kwny lile pazia nikashangaa sana...nilikimbia sikufunga mlango nikaenda njian nimsubir baba (MUNGU AKUPUMZISHE MSHESHIMIWA)aje tuingie wote na nimueleze lile tukio.Kwel baba alikuja ndio tukaingia nikamueleza akaniambia usjal mwanagu keshokutwa tunahama.

MAWAZO YANGU:Nadhani kuna watu wanajenga nyumba kwajili ya kutunzia mambo ya nguvu za giza,kuzugia ndio wanapangisha watu.Tuwe makini na watoto wetu,kuna vitu wanaona sana tuwasikilize na tusipuuzie.
Jina La Yesu Ni Dawa.
 
Kanole alikuwa hasemi kitu aiseee... Kuna yule mweusi mrefu hiviii alikuwa anapenda kusema Ngurutuu mnaharisha sababu mnakulaaa maviiiii....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😅😅 hii mgambo moja
 
Pole mwagito[emoji28]
 
Hii siyo Chai kweli
Alikuja asubuhi akatutania nyie vijana ni (wajeshi sana) akimaanisha wakakamavu, baada ya wiki Tulipewa notice akidai anataka afanye ukarabati wa nyumba yake[emoji23]
Hii siyo Chai kweli😂😂😂😂
 
Hahahaaa Mimi ilikuwa siyo kukimbia,
nilikuwa nakatiza uwanjani mida ya saa sits hivi,
Ila nikitembea nasikia kabisa maisha yanaendelea kama mchana,napishana na watu na wanaongea,
nilikuja kushtuka alfajiri natembea palepale uwanjan
Ulidandia mtumbwi wa vibwengo hukua uwanjani
 
huyu mganga nilenda kwake kwa maelekezo ya ndugu yangu
niliyakuta na kufanyiwa sitasahau. mwisho nikagoma kuendelea na akaniambia hapo tulipofikia na kuyafanya tuyatunze mioyoni mwetu, yaani iwe siri. naogopaga hata kusimulia
Mimi naijua dini ila sometimes najitoaga ufahamu na kufanya ya duniani, hivyo nina ka hirizi kangu natembea nako
juzi kati nikawa safarini kwenda dasalam, nikasema ujinga huu kutembea na hirizi kwenda jijini, nikaiweka kwenye kimfuko cha pembeni ya begi
kufika sehemu ya kuchimba dawa ,ile nanyayuka, maumivi makali kwenye nyonga, nikasema labda sababu ya kukaa sana, nilikuwa seat ya mwisho .Nimekaa dar siku nne zote nameza dawa za maumivu ya nyonga,lakini wapi, yapo tu
Jioni ambayo kesho yake narudi bara, nikasema ngoja nichukue kahirizi kangu nikakaweka mfukoni. Maumivu yakapotea ghafla.
Mpaka leo silewi kilikuwa ni nini
Mshana Jr
 
Umeshaingia kwny mfumo
 
Mkuu jibu ni YESU KRISTO pekee huna haja ya kutembea na hirizi ni mizigo hiyo.......

Pole sana bwana mtukutu wa nyaigela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…