Njoo tusimualiane Mambo ya kutisha/kuogopesha uliyowahi kushuhudia hapa Duniani

Njoo tusimualiane Mambo ya kutisha/kuogopesha uliyowahi kushuhudia hapa Duniani

Nyongeza : Ndoto hizi nilianza kuota toka nilipoenda kwa mganga. Ndoto ile ya kumkamata MTU na kumuuliza na yeye kumtaja mtu ( mjomba) wa nyumbani tena kwa jina inanisumbua mpaka leo hii . Ndoto ya yule Dada aliyekuwa kabeba jeneza na mdogo wake na kuniambia sitakuja kumpata mwanamke aliyetulia ..hapa naomba niongeze kitu.

Nilikuwa na mahusiano na Dada fulani mle ofisini ambaye baadae tulikuja kuachana katika mazingira ambayo sikuyaelewa mpaka Leo na huenda ile ndoto ilimaanisha kitu
 
Duh! Haya mambo nahisi kama yapo

Nakumbuka mwaka 2013 nikiwa Mwanza katika Chuo cha St. Augustine
Tukiwa tumepanga hostel za nje mm na Msela wangu

Siku Moja niliamka asubuhi, nikakuta nimenyolewa baadhi ya nywele kwenye kisogo, hiyo ni baada ya kuambiwa na mate Wang na baadhi ya majirani kwenye hiyo hostel
Lakini cha kushangaza sehemu hiyo haikuota nywele tena mpaka kipindi hiki change karibuni naona pameota mvi...

Sasa sijui alikuwa ni nan na hizo nywele alizipeleka wap na kwa madhumuni gan
BY THE WAY I BELIEVE IN GOD
 
Nyongeza : Ndoto hizi nilianza kuota toka nilipoenda kwa mganga. Ndoto ile ya kumkamata MTU na kumuuliza na yeye kumtaja mtu ( mjomba) wa nyumbani tena kwa jina inanisumbua mpaka leo hii . Ndoto ya yule Dada aliyekuwa kabeba jeneza na mdogo wake na kuniambia sitakuja kumpata mwanamke aliyetulia ..hapa naomba niongeze kitu.Nilikuwa na mahusiano na Dada fulani mle ofisini ambaye baadae tulikuja kuachana katika mazingira ambayo sikuyaelewa mpaka Leo na huenda ile ndoto ilimaanisha kitu

Maofisini kuna Mambo Sana, miye nilifika ofisini kwa Mara ya Kwanza karibu Kuna msikiti. Ile adhana ya saa saba kichwa kilikuwa kinaniuma mpk natoa machozi.Mzee mmoja hivi wa BC (born before computer) nilikuwa namsaidia kutuma zile risiti kwa email, akaniambia Weeee mtoto nenda kwenu kaage.
Nikamwambia mzee wangu akanifanyia duwa nikawa fresh. Ofisini kuna jamaa alinuna balaa.
 
[emoji3][emoji3] lilikua Jeusi hivi mkuu, kurya...Nalkumbuka vzuri kila Jumatatu uwanja wa Damu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo hiloo mzeee...!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Na kuna jamaa alikuwa Mchungaji ana kasauti mzee anapisha kwata yani jamaa anajua sanaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ulikuwa combania gani????
 
Kuna jirani yangu mmoja alikuwa anaishi na mwanamke ambaye alikuwa amezaa naye mtoto.Tulikuwa tumepanga nyumba moja. Yule Dada alikuwa na tabia za ajabu. Moja alikuwa na tabia ya kuja usawa Wa mlango wangu na kumuogesha mtoto wake na ameacha nafasi kubwa tu kule kwake.

Mbili, alikuwa anatabia pia kama anataka kuwasha jiko la mkaa anafanya hivyo hivyo kuja maeneo ya mlango wangu kiasi kwamba nikifungua mlango moshi unaingia ndani. Tatu, pia alikuwa na tabia nikifua nguo na yeye anafua nguo na lazima aziguse Nguo zangu kambani kama vile anasogeza ili na yeye apate sehemu ya kuanika zake. NNE, yule Dada ilikuwa Mara nyingi ninaporudi lazima tukutane tu mlangoni yaani ninapoingia getini na yeye huyo anatoka ndani kwake.

Matukio haya yalijirudia sana kiasi kwamba hata kuna mfanyakazi wangu mmoja alikuwa ananiuzia duka hili alikumbana nalo sana hasa pale anapoenda nyumbani nikimtuma Mimi nikiwa ofisini aliniuliza kwanini Mara nyingi lazima yule Dada wakutane tu.Hill lilikuwa linanishangaza kwani hata nikirudi usiku kama mida ya SAA tatu au mbili nikifungua geti tens ambalo halitoi sauti na huyo anafungua mlango wake na kutoka nje na kuzugazuga na shughuli za uongo.

Mara ya kwanza nilizani labda anataka dudu lakini kuna siku nilipata ukweli Fulani hivi.Kuna siku waligombana na Mzazi mwenzie na akafukuzwa ndani yeye na mtoto. katika ugomvi huo yule kaka alisikika akimwambia hamuogopi na hata kama kwao ni wachawi.kauli hii ilinifanya niunganishe dots .Yule kaka pia alikuwa hali chakula kwake kwa muda mrefu. Baadae nilipokuja kwenda kwa mganga niliwahi muota huyu Dada jirani pia.Kuna siku yule mganga alinitembelea cha kushangaza yule Dada alijifungia tu ndani hakutoka kabisa mpaka mganga alipoondoka .

Baadae jamaa alimtema yule Dada na alihama. Nyumba za kupanga zina mazito sana na kuna mwenyeji pia Wa mtaa huo huo niliokuwa nakaa aliwahiniambia kuna nyumba ukipanga riziki yako yote inafungwa
 
Kanole alikuwa hasemi kitu aiseee... Kuna yule mweusi mrefu hiviii alikuwa anapenda kusema Ngurutuu mnaharisha sababu mnakulaaa maviiiii....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jf huwezi choka kuna mambo mengi aise
 
Ukisema huamini sipingani nawewe
hadi sasa bado sikubaliani na hizi mambo..
Najaribu kuamini akili inagoma kabisa.

kwanini wengine hatukutani na vitu vyenye taswila hii?.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila ukisema huamini ama hayapp kwasababu hayajakukuta ama kukutokea sio hoja mkuu kwamaana kila kisichokutokea ama kukukumba nikwamba hakipo ?!
 
demu alinipenda sana kuna vitu alivifanya kwa ajili yangu akiamini nitamuoa lakin nilimkimbia nikawa namuogopa tu bila sababu, na usiku nilikuwa akiita jina langu kama mtu mwenye huzuni hivi

Huna hata aibu kumharibia Mwenzio maisha yake kisha unajitia ooh kaniroga! Hivi ushawahi jiuliza baada ya kumuacha alipatwa na mitihani gani? Aliolewa na nani? Malipo hapahapa duniani, Tubu na umrudie Mungu wako.
 
Huna hata aibu kumharibia Mwenzio maisha yake kisha unajitia ooh kaniroga! Hivi ushawahi jiuliza baada ya kumuacha alipatwa na mitihani gani? Aliolewa na nani? Malipo hapahapa duniani, Tubu na umrudie Mungu wako.
Na mimi sijui nini kilinipata,hata mimi nilikuwa nampenda sana lakini ghafla nikawa namuogopa nikimuona moyo unapasuka kama mwizi kaona defender, kama hajaniona nabadili njia ili nisikutane nae nakama hakuna chochoro basi najifanya nna haraka sana namsalimia halafu kama kuna kitu nawahi.
 
Miaka ya nyuma baada ya kumtibu ndugu yetu mmoja ikashindikana kupona ndipo mganga aliposema inabidi tuwaite wachawi waliomroga ili watuonyeshe dawa mana kwangu imeshindikana tukaa kama wanafamilia tukakubaliana na maneno ya mganga siku ya siku imefika tukabeba mgonjwa mpk makabulini na mganga nakumbuka ilikuwa saa 8 usiku tumefika pale mganga akaanza mambo yake mara akachukua filimbi akapiga mara 3 tukaanza kuona mauza mauza mganga akatwambia mnapaswa msiogope hiyo dawa niliyowapaka ni ya kuona wachawi ambao wamefanya hili jambo ila iwe siri yenu na watakachotaka muwatimizie ili tusijenge vita mimi na wao kweli bana akaanza kutokea paka anageuka kuwa mtu mara ndege anakuja pale anageuka na kuwa mtu yani siku hiyo niliona kila aina ya vitwimbwi ghafla wakawa watu kama 10 hivi na kila mmoja amekuja kwa style yake wakatuuliza tumewaitia nini mganga akawaeleza shida yetu watuonyeshe dawa ya kumtibu fulani tyliye naye pale dah ila wachawi wana maneno ya kejeli yani tulitumia kama lisaa mpk kuelewana na kiasi walichokitka tukawapa nusu siku hiyo wakamuonyesha mganga dawa ya hilo tatizo ndio kupona kwa ndugu yetu ila nilipomuuliza yule mganga kwanini imetubidi tuwaite wale wachawi alisema mchawi hata uwe mganga wa aina au mtu wa aina gani wakikuamulia wakumalize hawashindwi bila kujali una imani au huna.Nyingine ni ktk utafutaji ridhiki hapo ndio nilikuja kuona duniani kuna viumbe tunaishi navyo bila sisi kujua

Sasa hao wachawi waliomroga ndugu yenu mnawajua ama? Na kwann walimfanyia hivo au hakuna sababu??
 
Na mimi sijui nini kilinipata,hata mimi nilikuwa nampenda sana lakini ghafla nikawa namuogopa nikimuona moyo unapasuka kama mwizi kaona defender, kama hajaniona nabadili njia ili nisikutane nae nakama hakuna chochoro basi najifanya nna haraka sana namsalimia halafu kama kuna kitu nawahi.

Huenda kumpenda kwako haikua akili yako ndomana baadae dawa zilivo expire ulikua hujielewi hisia zako, au pengine na ww ulikua una tatizo... Inshallah utapona.
 
Ooh hapo nimekuelewa. Nilitafsiri vibaya comment yako. Nway, jisomee hizo Sura za kutoa Sihri kama ulivoelekezwa. Kuwa na Imani utashinda huu mtihani. Ukiweza fululiza kuswali usiku mida ya saa 9.
Haya asante sana.
 
Huenda kumpenda kwako haikua akili yako ndomana baadae dawa zilivo expire ulikua hujielewi hisia zako, au pengine na ww ulikua una tatizo... Inshallah utapona.
Yah hiyo ya kwanza naiamini manake alishawahi nipa vikaratas nivichome kwenye moto vimeandikwa kiarabu maandishi mekundu
 
Niliwai kuishi wilaya ya bahi Dodoma...kuna siku moja Niko nje ya nyumba majira ya mchana wa saa 7 hivi,alitokea mtu gafla akaniomba nimletee maji ya kunywa ,nilipoingia ndani nakutoka nikakuta yupo kifua wazi wakati alikuwa kavaa shati....na Hana chochote alichobeba.....nikampatia maji akanywa kisha akaniambia kuwa anaenda safari ya mbali na katokea Dodoma mjini kwa mguu....kisha akaondoa ....alipiga hatua Kama 4 baada ya hapo sikuona mtu upande wowote ule ........2005 ilikuwa .....
 
Back
Top Bottom