Njoo tusimualiane Mambo ya kutisha/kuogopesha uliyowahi kushuhudia hapa Duniani

Njoo tusimualiane Mambo ya kutisha/kuogopesha uliyowahi kushuhudia hapa Duniani

Kuna Bar iko mitaa flani hivi kule chuganian,ukimuelewa mhudumu fresh unampanga then anazuga zuga pale baadae anaingia chini ya meza(ni zile meza zenye cover za plastics ndefu) unashusha zipu kiaina yeye anaendelea kunyonya mkuyenge huku wewe unakunywa zako bia kama vile hakuna kinachoendelea,ukimalizana nae anatoka chini ya meza nduki anaendelea kuhudumia wateja kawaida kabisa.

Itakua wateja wa pale wamenyonywa sana na majini kule chini ya meza.
Toa jina la bar kaka tukarogwe tu na majini huko aisee [emoji3]
 
Acha nami nishee story yangu japo si mzuri sana katka uandishi.
Ilikua 2010 Dar es salam enzi hizo nikiwa mwanafunzi wa chuo kimoja hapo. Ukweli sikukutana nakiumbe cha kutisha bali ni binaadam alienifanya nibaki na sintofaham na maono tofauti ktk maisha.
Sikubahatika kupata chumba ktk hostel za chuo ikanibidi nipange kitaa flan uswahilini karibu na mwenge hapo. Maisha yalikua fresh tu fadha house alikua na wake wawili na watoto kadhaa hapo kijana mkubwa wa mwenye nyumba alitokea kua mwanangu sana story za hapa na pale, jamaa alikua mstaalabu sana na anasura ya upole by that time alikua kama ana 30 yrs nakuendelea.
Tukio lilotokea lilinifanya nibaki mdomo wazi ni siku moja mida ya saa tisa kasoro huyo bro aliniamsha kwa kugonga mlango nlisita kuitika lkn mwisho nilifunua nakumkuta amemkamata kijana mmoja wa makamo. Jamaa akanambia kwamba huyu ni mwizi na huwa anaibia watu hapo mtaani. Nikamuuliza vp ushahidi unao akadai hana ila amemkuta na kisu mfukoni. Nilitaka kuacha kumpa ushirikiano ila nikaona nimsaidie huyo kijana asijedhurika kwani hakukua na ushahidi wowote. Nilimshauri jamaa kua tuamshe majirani au ndg zake jamaa akawa mbogo. Ilibidi nimfate kwanyuma akiwa amemkamata yule kijana shingoni tukielekea nyumba iliokua opposite na hii tunayokaa. Nilipata bahati ya kumuuliza jamaa akakubali ni kweli hapo aliwahi iba shati na sendoz. Nilijua itakua kesi ndogo lkn tulipofika kwa huyu jirani aligonga mlango mara mbili tatu huyo mzee akafungua na kuelezwa dhumuni la sie kuwepo hapo. Alimtazama yule kijana kwa macho ya dharau na kuulizia mimi kwani hakuwahi niona maeneo hayo ndo jamaa akanitambulisha kama mpangaji wao. Yule mzee haraka bila uoga alitupa jukumu tumuue huyo dogo then tukimaliza tumchome moto hapo hapo. Nilihisi kuogopa nikaona ni kama mzaha vile kwani tulikua wawili tunaopewa jukum hilo. Alipomaliza kufunga mlango wake mzee yule nilimwambia huyu mshkaj kwanini tusimteme tu dogo coz vitu alivyoiba nividogo sana. Msela alinifokea sana na kunipolomoshea matusi makali. Ilibidi niwe mtazamaji asikwambie mtu kifo ni kitu rahisi sana, dogo alishushiwa kipigo hevy ngumi na mateke mpaka akazimia ndipo jamaa alipoanza kutumia mawe yaliyokua pembeni . Ilifika muda dogo alipiga mayowe maskini it was too late, jamaa alihitaji kuua siku hiyo. Baada yakama dakika saba dogo alivuta nikimshuhudia alimsihi yule jamaa akimtaja kwa jina kua unaniua bure bro mimi ni mdogo wako, haikusaidia kitu dogo alipigwa taili mbili na kumwagiwa mafuta ya taa. Aliwaka mpaka mwisho. Niliogopa sana na usiku huo sikulala tena taswira ya kile kipigo ilikua ikinijia kichwani. Niliogopa sababu dogo alouwawa na huyu jamaa ni wa pale mtaani vp mimi mgeni. Nakwanini jamaa hakutaka watu waamshwe na dogo mbona hakua amemuibia huyu jamaa kitu.
Ilibidi iwe siri yangu mpaka nilpokuja kufahamishwa na majirani wengine juu ya kuokotwa mara kwa mara maiti zisizo julikana mtaani. Ilibidi nihame kimya kmya na kujiapiza kua sintokuja kupanga uswahilini tena na hawa binadam wenye sura nzuri za upole niishinao kwa tahadhari kubwa.



Sent using Jamii Forums mobile app

Kwanin ukubali kushuhudia mtu anauawa
Na huyo jamaa yupo mpaka leo?ulitakiwa utoe taarifa police
Maana yake hapo mliua wote
 
Nina kawaida ya kuamka kila saa 9 au 10 alfajiri kwa ajili ya kwenda kuchuja. Visa hivi vimenitokea sana wakati huo, ila hiki cha mwisho kimenikaa sana.


Kuna hizi neti zenye zipu, huwa natandika mkeka na kigodoro, nalala, wiki kama mbili zilizopita mida ya saa 9, nimeamka kwenda kukojoa, nikarudi kulala, sasa nikafungua ile neti kwa kuvuta zipu yake juu, kisha nikaifunga nikajilaza, ghafla nikajiona mchovuuuu, halafu nikasikia hatua za mtu anakuja spidii, kuelekea napolala, najaribu kugeuka kumuangalia ni nani nashindwa, kichwa kizito, kilichonishinda nguvu ni pale niliposikia zipu ya neti ikifunguliwa, najitahidi kuamka nigeuze kichwa nashindwa.

Mpaka pale nilipotaja jina YESU kwa sauti xa chini sana, nikafanikiwa kugeuza kichwa na sikuona kitu, amini usiamini, nilikuta zipu imefunguliwa, nikaifunga na kuanza kusali huku moyo ukienda mbio. [emoji2962]

Hata mi hii hunitokea Yaan ile unalazimishwa kulala unalala usingizi mzito half unasikia mtu anakuja kabisa ukitaka geuka huwezi Unabaki unaongea kimoyo moyo Na kusali
Hii kitu sijawahi elewa Na hicho kitu kikikuachia unaamka hapo hapo Na jasho juu

Cc @mshanajr nin hiki
 
Nyumba ilikua na mauzauza ile kila mtu mle ndani aliwahi kukutana la lake.

Kuna csta mmoja mpangaji alikua akitoka chooni ucku. Katikati ya nyumba kulikua na mzabibu, basi alivoupita tu hatua mbili pakaripuka moto alikimbia breki ya kwanza kitandani mwake. Alivochungulia pale hakuuona tena ule moto.

Kuna dogo mmoja alitokaga kigoma kuja kusalimia ndugu zake miaka ya 2008 nikiwa form 2 kama sikosei nikaambia nilale nae wakat huo nshakua mkubwa nkapewa chumba changu kuna mpangaji aliondoka. Sasa yule dogo kumbe alikuaga na mashetani ucku akaota kama kuna wachawi wanakuja kunichezea akawatoa nduki kumbe nikweli sio ndoto. Nilikuja kumwamini baada ya kunionesha alikowafikisha ambako ni mbali na nyumbani na ukizingatia alikua mgeni kaingia jana yake jioni.
Basi siku ya pili wakatuma kibwengu cjui ndo msukule aje amtie adabu yule dogo. Ilikua kama mida ya saa nne ivi dogo akanambia naenda chooni , baada ya srkunde kadhaa ivi nackia kishindo kutoka kwenda kuangalia namkuta yule dogo anagaragara chini huku akiunguruma, nikamburuta mpaka chumbani kumuangalia vzur kwenye shavu ana alama tatu za kucha za kukwanguliwa na kiumbe kama paka iv uku anavuja damu.

Tukio jingine hili nikikumbukaga huwa nacheka mwenyew coz nlikua mdogo sasa cjui kama ilikua ni mauzauza au la.
Nilibanwa tumbo ucku ikabidi lazma nitoke nje kwenda chooni. Nlishindwa kuamsha wenzangu coz me nlikuasitakagi kusindikiza wenzangu nikahofia lazma wangekataa tu.

Basi ile nafungua mlango tu hamadi nikaona ungo utatoka juu ya ule mzabibu unaanguka chini ktka style ambayo ilinishangaza kwa kweli. Ungo ukafika chini ukatulia. Kwa kweli nlihisi faeces zikitoka kwenye rectum zikarudi mpaka kwenye illeum kama sio doudenum asee. Nikafunga mlango taratibu nkarudi kulala mpaka asubuh ndo nkaenda chooni.

Umenichekesha braza ako alitaka unyongwe kwanza wewe
 
Ni kiumbe aina ya binadamu ila ni mrefu asie na mwisho eneo hilo kuna miti aina ya girivelia na huyo kiumbe alionekana kupita kimo cha miti hiyo ila wenyeji baada ya kueleza wao wanaita kabhebba very dangerous kama utakutana nacho na ukaamua kukimbia wanasema lazma kikudhuru

Nishwahi kukutana nã huyu kabhebba usiku mrefu sana aisee nilikuwa shule umeme hakuna so nikawa nimetoka upande wa bweni langu kwenda bweni jingine wakati naenda nilikuwa nasikia kabisa watu wa bweni naloenda wanapiga stori na kucheka, giza nene sina tochi wala nini.

Natembea kibarazani naita agy agy ,kibaraza ni kirefu nikawa naona mtu anakuja nikawa nahisi ni agy au suzy nikawa naita tu siitikiwa ila nikawa nashangaa mbona kila tukikaribiana anazidi kurefuka halaf alikuwa amevaa nguo nyeusi zinapepea aiseee nyie ikabidi nisimame yule mtu anazidi kuja anazidi kuwa mrefu halaf kucha zake anakwaruza zile bomba zilizosimama kibarazani zinalia sauti ya mkwaruzo ,pia tulisogeleana kabisa nikageuza mbio huku napiga kelele kama kichaa,nyie nilikuwa nakimbia naona nipo pale pale sivuki hatua,Na sikugeuza shingo kabisa,nilivyofika room nikasimulia wenzangu hatukulala nyie,
Ile shule ilikuwa Na visa halaf umeme wa jenereta mwisho Sáa nne,shule una miti basi giza hadi chini huoni jamani
 
Mm niliwahi kuishi na mtot wa shangaz yng alikuwa anaishi kenya before alikuwa mtu wa church sasa kwa mitamaa yake akatembeaga na mwanafunzi kenya ikawa msala akakimbilia bongo wale jamaa walimtafuta mpaka wakaja bongo ila wakamkosa unavyoonekana juhudi za kumkosa wakaamua kwenda kwa sangoma jamaa alikua tukilala usiku full mauza uza mara achwapwe viboko ashtuke apige makelele, mara ananyongwa yan visa nilikuwa silali sasa mm nilikuwa havinigusi sasa kwa akili za kipindi kile nikawa nawaza km mshkj hamna chochote anazingua tuu ilifikia kipindi mpaka akawa anakimbilia kulala kanisani. Sasa siku moja alienda kwa sangoma na yey akaja na dawa akaipaka chumbani,,, bwana bwana wale jamaa walikasirika na mm niliipata ile siku. Kwanza nilikuwa nimelala nikahis km miguu inavutwa nje yan navutwa nje na mm najivuta ndani sasa nimeshtuka usingzn kumbe navutwa kweli japo bado nina mawenge ya usingzi, sasa kuna kiatu kilikuwa km kimening'inizwa juu ya seeling body nilipigwa cha kichwa mpaka nikajiuliza iv ni kwel kile kiatu kimefikaje uku akili inarudi nahusa hiv nimevimba. Aaa mama mdgo alimfukuza jamaa akamwambia vita yako isiwapate wengine we nenda tuu. Ila kile chumba nilikuwa sina amani kbsa kukaa peke yangu mule

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haha dah mmenikumbusha mbali kipind hiko tumehama maeneo ya mjini tumehamia mbali n mji kidogo mzee alijenga huko hiyo sehm palikuw hakun nyumba nying n kuna nyumba za udongo pia na wazawa wa hapo.

Kimbembe kukaribishwa hiyo sehm kila siku ikifika usiku hali aielewek mambo tofaut yanatokea bila kitegemea unawez kumuon bibi room kwko hujui kaingia vp kam kivuli ukiwash taa humuoni tena alikuw anatoka mpk chandarua anawek pembeni [emoji23][emoji23]

Hii siku sitokuja kusahau siku nimelala room alone nimeshtuka usngzn nahisi kabs mtu ananipapas matak* niligeuka n ngumi naon hakun mtu nilidata kwa nzia siku hiyo nalala naangalia mabati. [emoji28]
 
Haha dah mmenikumbusha mbali kipind hiko tumehama maeneo ya mjini tumehamia mbali n mji kidogo mzee alijenga huko hiyo sehm palikuw hakun nyumba nying n kuna nyumba za udongo pia na wazawa wa hapo.

Kimbembe kukaribishwa hiyo sehm kila siku ikifika usiku hali aielewek mambo tofaut yanatokea bila kitegemea unawez kumuon bibi room kwko hujui kaingia vp kam kivuli ukiwash taa humuoni tena alikuw anatoka mpk chandarua anawek pembeni [emoji23][emoji23]

Hii siku sitokuja kusahau siku nimelala room alone nimeshtuka usngzn nahisi kabs mtu ananipapas matak* niligeuka n ngumi naon hakun mtu nilidata kwa nzia siku hiyo nalala naangalia mabati. [emoji28]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Haha dah mmenikumbusha mbali kipind hiko tumehama maeneo ya mjini tumehamia mbali n mji kidogo mzee alijenga huko hiyo sehm palikuw hakun nyumba nying n kuna nyumba za udongo pia na wazawa wa hapo.

Kimbembe kukaribishwa hiyo sehm kila siku ikifika usiku hali aielewek mambo tofaut yanatokea bila kitegemea unawez kumuon bibi room kwko hujui kaingia vp kam kivuli ukiwash taa humuoni tena alikuw anatoka mpk chandarua anawek pembeni [emoji23][emoji23]

Hii siku sitokuja kusahau siku nimelala room alone nimeshtuka usngzn nahisi kabs mtu ananipapas matak* niligeuka n ngumi naon hakun mtu nilidata kwa nzia siku hiyo nalala naangalia mabati. [emoji28]

[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Haha dah mmenikumbusha mbali kipind hiko tumehama maeneo ya mjini tumehamia mbali n mji kidogo mzee alijenga huko hiyo sehm palikuw hakun nyumba nying n kuna nyumba za udongo pia na wazawa wa hapo.

Kimbembe kukaribishwa hiyo sehm kila siku ikifika usiku hali aielewek mambo tofaut yanatokea bila kitegemea unawez kumuon bibi room kwko hujui kaingia vp kam kivuli ukiwash taa humuoni tena alikuw anatoka mpk chandarua anawek pembeni [emoji23][emoji23]

Hii siku sitokuja kusahau siku nimelala room alone nimeshtuka usngzn nahisi kabs mtu ananipapas matak* niligeuka n ngumi naon hakun mtu nilidata kwa nzia siku hiyo nalala naangalia mabati. [emoji28]
Ungetulia kwanza uone je atafanyaje labda alikua na nia nzuri yakukupaka mafuta sababu yamepauka
 
Acha nami nishee story yangu japo si mzuri sana katka uandishi.
Ilikua 2010 Dar es salam enzi hizo nikiwa mwanafunzi wa chuo kimoja hapo. Ukweli sikukutana nakiumbe cha kutisha bali ni binaadam alienifanya nibaki na sintofaham na maono tofauti ktk maisha.
Sikubahatika kupata chumba ktk hostel za chuo ikanibidi nipange kitaa flan uswahilini karibu na mwenge hapo. Maisha yalikua fresh tu fadha house alikua na wake wawili na watoto kadhaa hapo kijana mkubwa wa mwenye nyumba alitokea kua mwanangu sana story za hapa na pale, jamaa alikua mstaalabu sana na anasura ya upole by that time alikua kama ana 30 yrs nakuendelea.
Tukio lilotokea lilinifanya nibaki mdomo wazi ni siku moja mida ya saa tisa kasoro huyo bro aliniamsha kwa kugonga mlango nlisita kuitika lkn mwisho nilifunua nakumkuta amemkamata kijana mmoja wa makamo. Jamaa akanambia kwamba huyu ni mwizi na huwa anaibia watu hapo mtaani. Nikamuuliza vp ushahidi unao akadai hana ila amemkuta na kisu mfukoni. Nilitaka kuacha kumpa ushirikiano ila nikaona nimsaidie huyo kijana asijedhurika kwani hakukua na ushahidi wowote. Nilimshauri jamaa kua tuamshe majirani au ndg zake jamaa akawa mbogo. Ilibidi nimfate kwanyuma akiwa amemkamata yule kijana shingoni tukielekea nyumba iliokua opposite na hii tunayokaa. Nilipata bahati ya kumuuliza jamaa akakubali ni kweli hapo aliwahi iba shati na sendoz. Nilijua itakua kesi ndogo lkn tulipofika kwa huyu jirani aligonga mlango mara mbili tatu huyo mzee akafungua na kuelezwa dhumuni la sie kuwepo hapo. Alimtazama yule kijana kwa macho ya dharau na kuulizia mimi kwani hakuwahi niona maeneo hayo ndo jamaa akanitambulisha kama mpangaji wao. Yule mzee haraka bila uoga alitupa jukumu tumuue huyo dogo then tukimaliza tumchome moto hapo hapo. Nilihisi kuogopa nikaona ni kama mzaha vile kwani tulikua wawili tunaopewa jukum hilo. Alipomaliza kufunga mlango wake mzee yule nilimwambia huyu mshkaj kwanini tusimteme tu dogo coz vitu alivyoiba nividogo sana. Msela alinifokea sana na kunipolomoshea matusi makali. Ilibidi niwe mtazamaji asikwambie mtu kifo ni kitu rahisi sana, dogo alishushiwa kipigo hevy ngumi na mateke mpaka akazimia ndipo jamaa alipoanza kutumia mawe yaliyokua pembeni . Ilifika muda dogo alipiga mayowe maskini it was too late, jamaa alihitaji kuua siku hiyo. Baada yakama dakika saba dogo alivuta nikimshuhudia alimsihi yule jamaa akimtaja kwa jina kua unaniua bure bro mimi ni mdogo wako, haikusaidia kitu dogo alipigwa taili mbili na kumwagiwa mafuta ya taa. Aliwaka mpaka mwisho. Niliogopa sana na usiku huo sikulala tena taswira ya kile kipigo ilikua ikinijia kichwani. Niliogopa sababu dogo alouwawa na huyu jamaa ni wa pale mtaani vp mimi mgeni. Nakwanini jamaa hakutaka watu waamshwe na dogo mbona hakua amemuibia huyu jamaa kitu.
Ilibidi iwe siri yangu mpaka nilpokuja kufahamishwa na majirani wengine juu ya kuokotwa mara kwa mara maiti zisizo julikana mtaani. Ilibidi nihame kimya kmya na kujiapiza kua sintokuja kupanga uswahilini tena na hawa binadam wenye sura nzuri za upole niishinao kwa tahadhari kubwa.



Sent using Jamii Forums mobile app
Duh
Inasikitisha sana
 
Haha dah mmenikumbusha mbali kipind hiko tumehama maeneo ya mjini tumehamia mbali n mji kidogo mzee alijenga huko hiyo sehm palikuw hakun nyumba nying n kuna nyumba za udongo pia na wazawa wa hapo.

Kimbembe kukaribishwa hiyo sehm kila siku ikifika usiku hali aielewek mambo tofaut yanatokea bila kitegemea unawez kumuon bibi room kwko hujui kaingia vp kam kivuli ukiwash taa humuoni tena alikuw anatoka mpk chandarua anawek pembeni [emoji23][emoji23]

Hii siku sitokuja kusahau siku nimelala room alone nimeshtuka usngzn nahisi kabs mtu ananipapas matak* niligeuka n ngumi naon hakun mtu nilidata kwa nzia siku hiyo nalala naangalia mabati. [emoji28]

huu mtuhani kaka,sasa hata mama na baba sijui unaenda kuwaambiaje[emoji28][emoji28][emoji28]

nimeshikwa matako baba[emoji1787][emoji1787]
 
Ndugu umesema ukiwa na mganga wako baharini aliibuka jini mwanamke mwenye urefu usioelezeka, ukakimbia wasaidizi wa mganga wakakudata. Unaweza niambia ulikimbiaje baharini? Ulikimbia kwa miguu ama mtumbwi ama boti?
Mkuu umuulizaye Mungu alishampenda zaidi ametangulia mbele za haki.
 
Back
Top Bottom