Hiz ni tabia za mke wangu mpaka leo. Unakuta saa 9 za usiku ghafla anaanza kuongea maneno ya kama ana fight, kuna muda mwingine huwa ananena kwa kugha zile za kilokole, kuna muda anaongea kingereza na kuna muta anasali kiswahil kwa kukemea.
Sijui tuna link gani lakin mara zote huwa mimi nashtuka kabla hajaanza kufanya haya so huwa namsikilizaaa moaka anamaliza, i dont know lakin mimi lazima nishtuke tu kabla hajazama kwenye hizi scenario.
Asubuh kukikucha hwa namuuliza vipi mwenzangu leo yalikukuta yapi, basi atakaa kuvuta kumbukumbu ndio ataanza kunisimulia ndoto ambazo huwa anaota na humo kwenye ndoto anakua ana fight against evil spirits, kuna muda huwa inamchukua siku nzima ku memorize ndio anisimulie.
NB.
Kwa mara ya kwanza kabisa ku cheat mimi, yf aliniambia mara 2 kabla kuwa nakuota sana uko na mwanamke mnafanya zinaa, 2 times, nilikua kwenye harakat zangu mwanza, aahh nikamlamba school mate wangu ambaye nilimuepuka sanaa nikiwa chuo na alikua akinipendaga sana