Njoo tuwasifu wapenzi wetu kwa Mitindo huru/freestyle.

free style imeisha?

haya mtoto ana tege, jicho lege, ana kijungu kama mtungi wa kusindika mbege, anavutia, kupandishia hisia, kiuno sasa ndio utata, pale kati nta, vitu vinapwita kama bata mzoea kupata, bint kajaa uhondo, kwa mitindo amefuzu msondo....aah ngoja nikale.....
 
Makuubwa [emoji22] [emoji22]
 
Ebu uje chumbani tuongee mama [emoji13][emoji13]
Nije wapi wakati umechanganyikiwa na akina Vivac wanaojing'ata wakainama! Mimi nikija nikitoa damu si utakimbia wewe
 
Nije wapi wakati umechanganyikiwa na akina Vivac wanaojing'ata wakainama! Mimi nikija nikitoa damu si utakimbia wewe
Walikufuata matajiri visenti vya chenge
Ukakataa kuvaa gucci ukafuata Vitenge
Mi ni wako we ni wangu kwanini usiringe
Penzi lako dawa tosha siendi samunge [emoji4][emoji4]
 
Walikufuata matajiri visenti vya chenge
Ukakataa kuvaa gucci ukafuata Vitenge
Mi ni wako we ni wangu kwanini usiringe
Penzi lako dawa tosha siendi samunge [emoji4][emoji4]
[emoji12] basi nakuja Baby
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…